Tumeshajionea wana Team lowassa wakiwa na frustration katika kipindi cha masaa 48 yaliyopita lakini hakuna aliyekiri kukwama.
Hii ni thread ya kwanza kukubali mkwamo katika Team lowassa
Tumeshihudia tabia chafu ya Team lowasa kumdhihaki mwenyekiti..eti EL alimsaidia JK kuingia madarakani na kwamba bila yeye JK angeshindwa!
Yaani EL aliamua na amedhamiria kumblackmail mwenyekiti wa ccm na rais wa JMT.
wafuasi wa EL wameonesha jeuri ya fedha na ubabe dhidi ya mwenyekiti wa ccm na rais wa JMT.
PENGINE EL hausiki bali tatizo ni team aliyoichagua kuitumia
#Teamkibonde
Hili ni kosa kubwa lilofanywa na Team El ambalo watalijutia.
El amejitahidi kulirekebisha bila mafanikio na sasa tunaona revelation za wafuasi wake.
Teamlowassa wametumia fedha,hadaa na ubabe ili tu kujionesha kuwa wao ni zaidi ya chama na system na wananchi...huu ni upuuzi !
Kwa taarifa yenu ninyi Teammapesa ni wachache na sisi ni wengi.
Na mkimzidi mwenyekiti wako watu wa kumlinda kwa njia yoyote ile.
EL alikuwa mtulivu kama yeye lakini wapambe wake wamejikweza na malipo wanayoyapata ndio haya sasa....to BOW DOWN WHEN IT IS TOO LATE
RAIS mwinyi alijituliza akapewa nchi lakini ninyi Team mapesa mnajidai wajuaji sasa msubirini
#ngariba awaketete.