Hamna ubaya mradi tu isiwe too much everywhea mko pamoja, mbaya ni ile kunakua na mixture ya urafiki na kumezeana mate lol!
As long as the marriage is in good health, then it's okay. Tatizo ni wakati the marriage is on rocks, hiyo kampani inaweza kugeuka 180degrees.
Ngoja nikuulize, since he's super nice to you, je akikuomba itakuwa kosa? Maana wengi wetu tunaanzaga hivi hivi, mara ofa ya mihogo ya kukaanga, kuku chips, huku tukisifia wake zetu kutaka kuona your reactions then ukishatuzoea ndipo tunaomba kitumbua cha nazi. Mazoea mabaya dada yangu, utakuja jikuta unatoa tu tena kwa huruma ila tu nakusihi usijizoeshe na vya nje kwani vya kuibia ni vitamu zaidi.
Mmh ndo mwanzo wa kuwa hz companion hapo ss na that is hatar kdg
Ila al in al ntakupima kwnza kama we mkali kulko mm hell nah stay away frm hm ila kma wa kawaida sana poa subirien tu hyo jam ipungue
Hahahaaaaaaa! Mi mkali kuliko mkewe si unajuam mkewe kashusha engine plus AGE is a BIACH!!!!!
Hahahahaaaaaaaaaaaaaaaa! Joints tunazokunywa hazina Guest walam lodge! We will be safe! LOLEST!
Huwa unammiss? Do you (both of) look forward for the next date?
I think sio vizuri kinachotokea hapo both of you mnaziba mapengo ya relations zenu. I mean kinachopungua mnakijazia kwenye urafiki wenu; sasa wait till upungufu uingie kwenye maswala ya bedroom automatically mtajazia.
His wife is supposed to be his best friend; they should be going out n having quality time together and so do you n your boyfriend!
Si nilitoa ya baba yako mzazi!!!!!Au umesahau?
i beg to differ! urafiki huu si salama kwa ndoa zote mbili. intimacy chanzo chake ni kufahamiana kwa karibu. Unapokuwa karibu sana na binadamu wa gender nyingine ambaye si dada wala kaka mkawa mnakutana mara kwa mara uwezekano wa kuhamia stage nyingine ni mkubwa. anachoongelewa mtoa mada ni sawa kabisa na kuuliza je kisu kikiwa karibu na mnofu wa nyama kikawa karibu kabisa mara kwa mara hakiwezi kukata mnofu? hicho kidude ambacho hajaomba ni kwa sababu muda haujafika ataomba tu. So I would say urafiki huo usiruhusiwe kustawi sana.... pana hatari.
Hatari gani? inaweza hata ikaathiri performance ya pande zote mbili wakati wa lile zoezi nyeti kwa yeyote kati yenu kuweka mwili kwenye ile theatre ya usiku na kumbe roho ikawa nje. Hili huzaa kitu kinaitwa frigidity--and it is not healthy at all. So? I'd say NO... punguza kumzoea sana huyu rafiki yako wa jinsia tofauti nje ya ndoa. That relationship is not safe.
Nakumbuka tena mimi si nilikupa hela yakwenda kuitoa.
Hahahahaaaaa! I dont miss him! Bt i do miss his treats to be honest! Na im in this friendship coz he is treating me like a queen n all that! Yaani inakuwa twende wapi leo? Unajisikia kufanya nini leo?
Hahahaaaaaa! Sasa yeye ndo anapenda company yangu not his wifes!!!!!!!! Mi naona ni sababu ya umri plus perspective ya kuangalia maisha! Akimtreat mkewe Golden Tulip pale akaona wekundu wanavochomoka na home kwao nyumba haijaisha vizuri ataanza kuleta uparty pupper kwa kumshauri hizo hela wanunue cement! Au wakajenge kiwanja kingine! Au wamsomeshe mtoto wa shangazi!
A man needs some goodtimes frm time to time! He deserves to relax, me nikiona wekundu wanakatika namwambia you should tip the waiter!!!!!!!!LOL! Badae najisemesha nimefulia sanaaa! Napewa zangu kilo! Aaaaaaah! Sometime a man jst wants you to tream him like he is in control! Pedesheeeeeeeee!!!!! sasa ukikomalia kumkumbusha his failures goodtimes zinageuka bad!!!!!!!!!
Wanaume mkiendekeza midada ya mjini hamtojengaaa! Muulizeni Ndikumana!!!
Kweli umesahau Mama yako mzazi alinililia manake alishafungashiwa virago!!!!!! Na uzee ule angeenda wapi! Mimi mama yako ujue ilikupasa uanze na shikamoo kabla hujacomment!:cheer2:
As long as naweza kupata access ya Paw wangu anytime akiwa na huyo rafiki yake wa kike, na naruhusiwa kuhang nao ama kupop in anytime i want. He can have all the lady friends he want in the whole universe. Ila sio akienda kummeet AshaDii ndo nikipiga simu haipokelewi utasema wanajadili hatma ya chadema masalia, ama nikiuliza mko wapi nije kula kuku napandiwa hewani kama mwehu, hapo patachimbika. I have male friends na sina uhusiano nao. Naye nategemea the same.
See what l meant?
Wewe unamiss kuwa treated as a queen whiich your BF is not doing, probably because ana mambo mengi ya maendeleo anayafanya.
And him, being that age feels good with a chick around, anajiona young na useful! Poor him!
Anyway; you know deep down in your heart kuwa sio nzuri ndio maana umewashauri wanaume kuwa makini. Assume ni mzazi wako; so kuna watu wanaokuwa affected negatively (mkewe, kids, your BF) na hiyo kitu. Your conscious is what matters mwisho wa siku!