VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Hivi itakuwaje JF wakiweka webcam Capability...? au ni bora watu tubakie a Mystery....,?
Ni kweli kabisa Nazjaz na mimi pia nilishasema natafuta mchumba ila bado sijampata alie tayari please tuwasiliane kweny private messageNi kweli kabisa Nazjaz na mimi pia nilishasema natafuta mchumba ila bado sijampata alie tayari please tuwasiliane kweny private message
Cheupe....... Sorry CHEUSIMANGALA Upo?
Hivi itakuwaje JF wakiweka webcam Capability...? au ni bora watu tubakie a Mystery....,?
umesema ukweli kabisaaaaaa........mi nafikiri kama unampenda mtu kwa yale aandikayo au anayoyaunga mkono si mbaya mkafahamiana,yote ni maisha tu....na hayana formula......lidumu hili jukwaa....
umesema ukweli kabisaaaaaa........mi nafikiri kama unampenda mtu kwa yale aandikayo au anayoyaunga mkono si mbaya mkafahamiana,yote ni maisha tu....na hayana formula......lidumu hili jukwaa....
Wewe ndoto za jinamizi juu yako haziniishi mwana wa mwenzio
mbona juzi tu hapa wana jf wamevalishana pete,kila kitu kinawezekana ni kuwa makni na umtanguliza Mungu mbele tu ,maana hata humu sio wote ni wema.
.
naamini kila mtu amesha wahi kupata hisia za mwana JF mmoja,.
Ni kweli kabisa Nazjaz na mimi pia nilishasema natafuta mchumba ila bado sijampata alie tayari please tuwasiliane kweny private message
maisha ni safari ndefu, kimzaha mzaha hapa JF unaweza kuanza urafiki na mtu, ukadevelop ukawa MAPENZI, Mapenzi nayo yakawa uchumba, kisha MUNGU akijalia ndoa yenye heri na fanaka ikatoka hapa JAMII FORUMS.
Lidumu Jukwaa la Mahusiano, mapenzi na urafiki.
naamini kila mtu amesha wahi kupata hisia za mwana JF mmoja, hata kama hujataka urafiki utakuwa umetaka at least umuone.