Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,832
maisha ni safari ndefu, kimzaha mzaha hapa JF unaweza kuanza urafiki na mtu, ukadevelop ukawa MAPENZI, Mapenzi nayo yakawa uchumba, kisha MUNGU akijalia ndoa yenye heri na fanaka ikatoka hapa JAMII FORUMS.
Lidumu Jukwaa la Mahusiano, mapenzi na urafiki.
naamini kila mtu amesha wahi kupata hisia za mwana JF mmoja, hata kama hujataka urafiki utakuwa umetaka at least umuone.
Lidumu Jukwaa la Mahusiano, mapenzi na urafiki.
naamini kila mtu amesha wahi kupata hisia za mwana JF mmoja, hata kama hujataka urafiki utakuwa umetaka at least umuone.