coco bella
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 305
- 315
- Thread starter
- #101
Samahani kaka sihitaji ben 10 wala ben 20 nafikiri Mimi sio mteja katika hiyo biashara yako otherwise nikutakie biashara njema
Samahani kaka sihitaji ben 10 wala ben 20 nafikiri Mimi sio mteja katika hiyo biashara yako otherwise nikutakie biashara njema
Nisaidie kibao, Mara nadaiwa mara hivi nishadate nao kama wawili hivi ni pasua kichwa anakufanya wewe kama mzazi wake"wanachuo ni wasumbufu sana aisee", naomba ufafanuzi tafadhali
Yaani ni bora mtu asiwe na kazi kuliko akiwa bado mwanafunziwanafunz wa chuo oyeeeeeeeeeeee!!
Bella!!!!Nimechoka kuwa mpweke Mimi, nimechoka kugalagala peke yangu jamani.
Mimi ni mdada umri miaka 28, kabila Mngoni, mweusi kimo cha wastani.
Natafuta mkaka anayejielewa sina ubaguzi wa dini kabila lolote akiwa Msukuma, Muhaya na Mnyamwezi nitafurahi zaidi.
Awe anajishughulisha kwa chochote, sitaki wanafunzi wa chuo ni wasumbufu aisee. Nahitaji mahusiano ya kudumu aliye serious ani PM.
Ninaishi Mbezi Msakuzi nyumba yangu kubwa nahitaji mwanaume wa kuunguruma jamani.
NB: Muonekano wowote, kilema si ugonjwa
Abee Chief!!!Bella!!!!
Mama mm mnyamwezi kbs umepiga mlemle hebu nitumie picha yako nkuone mapema nisije kuombe penzi kumbe ni shangazi yangu
pole sanaSana nateseka kwakweli
Bella!!!pole sana
Random nipo hapa niko worth na answer to her prayer, umeselect vzrRondom selection could be worth and give answers to your prayers
Nisaidie kibao, Mara nadaiwa mara hivi nishadate nao kama wawili hivi ni pasua kichwa anakufanya wewe kama mzazi wake
aiseeenyumba yangu kubwa nahitaji mwanaume wa kuunguruma jamani.
Mimi mkurya sipata nafasi ya kuunguruma ndani ya nyumba yako?Nimechoka kuwa mpweke Mimi, nimechoka kugalagala peke yangu jamani.
Mimi ni mdada umri miaka 28, kabila Mngoni, mweusi kimo cha wastani.
Natafuta mkaka anayejielewa sina ubaguzi wa dini kabila lolote akiwa Msukuma, Muhaya na Mnyamwezi nitafurahi zaidi.
Awe anajishughulisha kwa chochote, sitaki wanafunzi wa chuo ni wasumbufu aisee. Nahitaji mahusiano ya kudumu aliye serious ani PM.
Ninaishi Mbezi Msakuzi nyumba yangu kubwa nahitaji mwanaume wa kuunguruma jamani.
NB: Muonekano wowote, kilema si ugonjwa
Hii fursa nami nimo ngoja niandae maombi ya kuja nayo dmNimechoka kuwa mpweke Mimi, nimechoka kugalagala peke yangu jamani.
Mimi ni mdada umri miaka 28, kabila Mngoni, mweusi kimo cha wastani.
Natafuta mkaka anayejielewa sina ubaguzi wa dini kabila lolote akiwa Msukuma, Muhaya na Mnyamwezi nitafurahi zaidi.
Awe anajishughulisha kwa chochote, sitaki wanafunzi wa chuo ni wasumbufu aisee. Nahitaji mahusiano ya kudumu aliye serious ani PM.
Ninaishi Mbezi Msakuzi nyumba yangu kubwa nahitaji mwanaume wa kuunguruma jamani.
NB: Muonekano wowote, kilema si ugonjwa
Pole sana kwa kuchoka upweke! Ni kweli kbsa upweke unachosha sana lkn upweke wa wanawake wengi unatokana na kujiona wao nikeki na kuwaringia wanaume wanaowatongoza. Ushauri wangu kwako usichague sana
we una vitukoMama mm mnyamwezi kbs umepiga mlemle hebu nitumie picha yako nkuone mapema nisije kuombe penzi kumbe ni shangazi yangu