Upweke unauma, natafuta mwenza

Nimechoka kuwa mpweke Mimi, nimechoka kugalagala peke yangu jamani.

Mimi ni mdada umri miaka 28, kabila Mngoni, mweusi kimo cha wastani.

Natafuta mkaka anayejielewa sina ubaguzi wa dini kabila lolote akiwa Msukuma, Muhaya na Mnyamwezi nitafurahi zaidi.

Awe anajishughulisha kwa chochote, sitaki wanafunzi wa chuo ni wasumbufu aisee. Nahitaji mahusiano ya kudumu aliye serious ani PM.

Ninaishi Mbezi Msakuzi nyumba yangu kubwa nahitaji mwanaume wa kuunguruma jamani.

NB: Muonekano wowote, kilema si ugonjwa
Bella!!!!
 
Nimechoka kuwa mpweke Mimi, nimechoka kugalagala peke yangu jamani.

Mimi ni mdada umri miaka 28, kabila Mngoni, mweusi kimo cha wastani.

Natafuta mkaka anayejielewa sina ubaguzi wa dini kabila lolote akiwa Msukuma, Muhaya na Mnyamwezi nitafurahi zaidi.

Awe anajishughulisha kwa chochote, sitaki wanafunzi wa chuo ni wasumbufu aisee. Nahitaji mahusiano ya kudumu aliye serious ani PM.

Ninaishi Mbezi Msakuzi nyumba yangu kubwa nahitaji mwanaume wa kuunguruma jamani.

NB: Muonekano wowote, kilema si ugonjwa
Mimi mkurya sipata nafasi ya kuunguruma ndani ya nyumba yako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimechoka kuwa mpweke Mimi, nimechoka kugalagala peke yangu jamani.

Mimi ni mdada umri miaka 28, kabila Mngoni, mweusi kimo cha wastani.

Natafuta mkaka anayejielewa sina ubaguzi wa dini kabila lolote akiwa Msukuma, Muhaya na Mnyamwezi nitafurahi zaidi.

Awe anajishughulisha kwa chochote, sitaki wanafunzi wa chuo ni wasumbufu aisee. Nahitaji mahusiano ya kudumu aliye serious ani PM.

Ninaishi Mbezi Msakuzi nyumba yangu kubwa nahitaji mwanaume wa kuunguruma jamani.

NB: Muonekano wowote, kilema si ugonjwa
Hii fursa nami nimo ngoja niandae maombi ya kuja nayo dm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana kwa kuchoka upweke! Ni kweli kbsa upweke unachosha sana lkn upweke wa wanawake wengi unatokana na kujiona wao nikeki na kuwaringia wanaume wanaowatongoza. Ushauri wangu kwako usichague sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom