UngefanyajeSs mwanaume dili ningekuwa mwanaume wangekoma
Nipo mama nami nimechoka upwekeMimi ni binti 25yrs, nahitaji mpenzi au mtu wa kuwa karibu nami na faraja, iam going through hard time kiasi na kwa magumu ninayopitia nahitaji rafiki mmoja wa pekee ataenifariji na kunishika mkono nikiwa na huzuni, atanifariji nikiwa mpweke atanipa
kampani nikilia atanifuta machozi.
Nilijaribu mahusiano kadhaa yakaishia vibaya, naomba uwe mwanaume uliepevuka kiakili sio mvulana, uwe na akili ya maisha sio kilaza, mkristo tu.
Angalizo;
Kama unajijua huna nia ya dhati usisogee pm
Kama una mpenzi usisogee pm.
.
maneno kuntu atakua skteepamkuu unaweza kumpata huyo mwenye vigezo vyote ulivyotaja hapo na bado ukawa mpweke ..
Furaha huwa haitafuti huwa inakufata na hasa pale mungu anapoamuwa tu
Shukran mkuumaneno kuntu atakua skteepa
Sometimes Yesu mnamsinginzia!Mwenye sifa zote hizo ni Yesu peke yake.
Mkaribishe yeye utapata amani isiyo ya kawaida.
Hawa wa duniani watakuongezea stress tu.
Huyu wa duniani asipopokea simu utaanza kuwaza mengine,mara hapatikani hewani bp hiyo lkin sio shelimara sijui anawasiliana na x wake mawasiliano ya kawaida kimuhemuhe kimeshakupata.
In short matatizo ni mengi na mapungufu tunayo lkni mtihani unakuja pale ambapo unashindwa kuyachukulia mapungufu wa mwenzako na kuyainjoyi haya maisha.
Kila la kher ktika kufanya maamuzi
Halafu hawamjui, mwenyewe kawaambia kwamba, wasisumbukie ya ulimwengu huu, watafute kwanza ufalme wa Mungu na mengineyo, yote watapewa kwa "ZIADA".Sometimes Yesu mnamsinginzia!
Well said mkuu!Halafu hawamjui, mwenyewe kawaambia kwamba, wasisumbukie ya ulimwengu huu, watafute kwanza ufalme wa Mungu na mengineyo, yote watapewa kwa "ZIADA".
Leo wao wanatamani wamuone sijui awakanushie hayo, daily wanambebesha hayo aliyowataka wasiyahangaikie, wala yale walioambiwa wayasumbukie hawana shida nayo. Huu Ukristu ni shida kweli, matangazo ya makanisa na wachungaji hayana tofauti kimaudhui na matangazo ya waganga wa kienyeji 'wale wachawi' wote wanahubiri injili yao mpya, "tafuteni kwanza ya ulimwengu huu, 'mbinguni hata uwepo wake ni wamashaka' " vichunguzeni vibao vya matangazo yao.
Unaweza kubadili sex,au ukawa lesbianSs mwanaume dili ningekuwa mwanaume wangekoma
Awe mkristo tuu wengine hutaki acha zako wakati bado binti mdogoMimi ni binti 25yrs, nahitaji mpenzi au mtu wa kuwa karibu nami na faraja, iam going through hard time kiasi na kwa magumu ninayopitia nahitaji rafiki mmoja wa pekee ataenifariji na kunishika mkono nikiwa na huzuni, atanifariji nikiwa mpweke atanipa
kampani nikilia atanifuta machozi.
Nilijaribu mahusiano kadhaa yakaishia vibaya, naomba uwe mwanaume uliepevuka kiakili sio mvulana, uwe na akili ya maisha sio kilaza, mkristo tu.
Angalizo;
Kama unajijua huna nia ya dhati usisogee pm
Kama una mpenzi usisogee pm.
.