just a girl
New Member
- Mar 9, 2017
- 1
- 13
Mimi ni binti 25yrs, nahitaji mpenzi au mtu wa kuwa karibu nami na faraja, iam going through hard time kiasi na kwa magumu ninayopitia nahitaji rafiki mmoja wa pekee ataenifariji na kunishika mkono nikiwa na huzuni, atanifariji nikiwa mpweke atanipa
kampani nikilia atanifuta machozi.
Nilijaribu mahusiano kadhaa yakaishia vibaya, naomba uwe mwanaume uliepevuka kiakili sio mvulana, uwe na akili ya maisha sio kilaza, mkristo tu.
Angalizo;
Kama unajijua huna nia ya dhati usisogee pm
Kama una mpenzi usisogee pm.
.
kampani nikilia atanifuta machozi.
Nilijaribu mahusiano kadhaa yakaishia vibaya, naomba uwe mwanaume uliepevuka kiakili sio mvulana, uwe na akili ya maisha sio kilaza, mkristo tu.
Angalizo;
Kama unajijua huna nia ya dhati usisogee pm
Kama una mpenzi usisogee pm.
.