Upweke unanitesa, nahitaji mpenzi wa kunifariji

just a girl

New Member
Mar 9, 2017
1
13
Mimi ni binti 25yrs, nahitaji mpenzi au mtu wa kuwa karibu nami na faraja, iam going through hard time kiasi na kwa magumu ninayopitia nahitaji rafiki mmoja wa pekee ataenifariji na kunishika mkono nikiwa na huzuni, atanifariji nikiwa mpweke atanipa
kampani nikilia atanifuta machozi.

Nilijaribu mahusiano kadhaa yakaishia vibaya, naomba uwe mwanaume uliepevuka kiakili sio mvulana, uwe na akili ya maisha sio kilaza, mkristo tu.

Angalizo;
Kama unajijua huna nia ya dhati usisogee pm
Kama una mpenzi usisogee pm.
.
 
mimi ni binti 25yrs
nahitaji mpenzi au mtu wa kuwa karibu nami na faraja..iam going thru hard time kiasi..na kwa magumu nnayopitia nahitaji rafiki mmoja wa pekee ataenifariji na kunishika mkono..nkiwa na huzuni atanifariji..nkiwa mpweke atanipa
kampani.nkilia atanifuta machozi.
nlijaribu mahusiano kadhaa yakaishia vibaya..
naomba uwe mwanaume uliepevuka kiakili sio mvulana
uwe na akili ya maisha sio kilaza.mkristo tu.
angalizo;
kama unajijua huna nia ya dhati usisogee pm
kama una mpenzi usisogee pm.
Ukowapi
 
3e503cc1e502a297d75171a89d6ba3ee.jpg

Acha kupunguza umri mkuu sema kwel ili mungu akupe kiukweli
 
mimi ni binti 25yrs
nahitaji mpenzi au mtu wa kuwa karibu nami na faraja..iam going thru hard time kiasi..na kwa magumu nnayopitia nahitaji rafiki mmoja wa pekee ataenifariji na kunishika mkono..nkiwa na huzuni atanifariji..nkiwa mpweke atanipa
kampani.nkilia atanifuta machozi.
nlijaribu mahusiano kadhaa yakaishia vibaya..
naomba uwe mwanaume uliepevuka kiakili sio mvulana
uwe na akili ya maisha sio kilaza.mkristo tu.
angalizo;
kama unajijua huna nia ya dhati usisogee pm
kama una mpenzi usisogee pm.

Mwenye sifa zote hizo ni Yesu peke yake.
Mkaribishe yeye utapata amani isiyo ya kawaida.
Hawa wa duniani watakuongezea stress tu.

Huyu wa duniani asipopokea simu utaanza kuwaza mengine,mara hapatikani hewani bp hiyo lkin sio shelimara sijui anawasiliana na x wake mawasiliano ya kawaida kimuhemuhe kimeshakupata.

In short matatizo ni mengi na mapungufu tunayo lkni mtihani unakuja pale ambapo unashindwa kuyachukulia mapungufu wa mwenzako na kuyainjoyi haya maisha.

Kila la kher ktika kufanya maamuzi
 
Mwenye sifa zote hizo ni Yesu peke yake.
Mkaribishe yeye utapata amani isiyo ya kawaida.
Hawa wa duniani watakuongezea street tu.

Huyu wa duniani asipopokea simu utaanza kuwaza mengine,mara hapatikani hewani bp hiyo lkin sio shelimara sijui anawasiliana na x wake mawasiliano ya kawaida kimuhemuhe kimeshakupata.

In short matatizo ni mengi na mapungufu tunayo lkni mtihani unakuja pale ambapo unashindwa kuyachukulia mapungufu wa mwenzako na kuyainjoyi haya maisha.

Kila la kher ktika kufanya maamuzi
Muombee mwenzio basi apate tulizo la mtima
 
kuna wavulana wapo makini sana zaidi ya unavyofikiria na kuna wanaume wa ovyo kabisa yani ni mdololo(useless) sasa angalia usipishane na uchokihitaji

kuna mtu kakuambia hapo juu naomba nimquote "furaha huwa haitafutwi huja yenyewe automatically pale tu mungu anapoamua"

kama unataka furaha stay tuned kama unataka karaha nenda ukaitafute

all the best
mvulana hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom