Upungufu wa viongozi CHADEMA

Wakuu habari zenu na poleni na majukumu ya kujenga Taifa letu...

Kwa muda mrefu nimefikiria kama Chadema kweli kikichukua nchi japo ni(Ndoto ya mchana)kinaweza kuwa na Mawaziri japo wa 5 wenye uwezo wa kuliongoza Taifa hili,ukimuondoa Mh.Zitto, Tundu Lissu na Mnyika.

Kiukweli Chadema inahitaji kuwa na Ombwe la viongozi kama hadi Sugu anakuwa Waziri kivuli? Sio kutegemea umaarufu wa wasanii + kupenda fujo ambazo hazina kichwa wala miguu ndo kuja kupata wafuasi. Taifa litapotea kuwa na viongozi wavuta Bang.i, Wapiga Disco na wengine wengi.

NAWASILISHA WAKUU,,MATUSI SIO LUGHA YA MSTAARABU.

Ni vyema kabla hujaandika jambo ujiulize kama jambo hilo lina maana (sense) yoyote!
 
Back
Top Bottom