MJUKUU WA MKULI
New Member
- Apr 22, 2011
- 3
- 0
Leo majira ya saa sita usiku kumetokea chatu mkubwa hapa udom social science
je ni sahihuhi kwa watu kwenda kujazana na kumchezea badala ya kumuua?
Je kunamadhara gani kwa watu kumchezea chatu aliye hai?
Je wako sahihi
je ni sahihuhi kwa watu kwenda kujazana na kumchezea badala ya kumuua?
Je kunamadhara gani kwa watu kumchezea chatu aliye hai?
Je wako sahihi