Labda Waingereza waliokuwa wakimuongoza na kumuendesha walimwambia kuwa ndio njia pekee ya kutoka.Nyerere kama alikuwa mbaya sana mbona alifanya harakati kubwa kuzikomboa nchi za kusini mwa Afrika ambako Waafika mamilioni waliuuawa wakati wa vita vya ukombozi?
ukweli unauma.....
Nyelele arikuwa mtu mzuli sana, wakati wa Nyelele aliimalisha sana hari ya watu wake kierimu na rishe bola, vyakura kama mahalage
mchere, sukali, virikuwa vikipatikana kira kona ya Jamhuli ya Tanzania
uzuri hata wewe unaweza kuingia na ku edit hiyo article
Hivyo hukumjua Nyerere wewe! na ulikuwa humsikilizi Nyerere kwa sababu hotuba zake, barua zake kwenda kwa viongozi wa nje na nini afanye vyote hivi alikuwa akipangiwa na raia wa Kiingereza Joan Wicken mwenye asili ya Kiyahudi.Nyerere wa Wikipedia atabaki kuwa wa hukohuko. Nyerere wa WATANZANIA, tulieishi naye, tukafanyakazi naye, tukamsoma, tukamsikiliza, akafariki, tukamzika atabaki kama tulivyomwona na kumfahamu.
ukweli unauma.....
Nyelele arikuwa mtu mzuli sana, wakati wa Nyelele aliimalisha sana hari ya watu wake kierimu na rishe bola, vyakura kama mahalage
mchere, sukali, virikuwa vikipatikana kira kona ya Jamhuli ya Tanzania
Siwezi kukuzuia kufikiri na kuandika hivi na hasa kama unaongozwa na chuki, jazba, husda, fitna, DINI, ..., Nyerere wetu alikuwa muwazi sana katika utendaji wake kazi. Hakucheka na aliyemchukia. Hakuwa mnafiki kwa yeyote. Hotuba zake nyingi alizungumza kwa kichwa na akili yake. Alisimamie kwelikweli lile aliloamini ni SAHIHI na ni kwa manufaa ya WATANZANIA.Hivyo hukumjua Nyerere wewe! na ulikuwa humsikilizi Nyerere kwa sababu hotuba zake, barua zake kwenda kwa viongozi wa nje na nini afanye vyote hivi alikuwa akipangiwa na raia wa Kiingereza Joan Wicken mwenye asili ya Kiyahudi.
Joan Wicken alikuwa akiitumikia na kulipwa na Serikali ya Uingereza "kumshauri" Nyerere tokea kabla ya Uhuru mpaka kufa kwa Nyerere, ni great thinker wewe fanya utafiti kidogo kuhusu huyu mwanamke Joan Wicken na Nyerere.
Wakati ulipokuwa ukiimba "zidumu fikra za Mwenyekiti" ujue kuwa ulikuwa ukiimba zidumu fikra za Joan! Umetiwa changa la macho mkuu! pole.
hakuna merekebisho yanayo hitajika hapa jamani? I think this is a malicous attempt to rewrite history...
Julius Nyerere - Wikipedia, the free encyclopedia
Political repression
In 1962, Nyerere created the Preventive Detention Act, which was used to imprison opposition and suppress trade unions. People disappeared and victims are estimated to be in the thousands. International human rights organization Amnesty International adopted 141 prisoners of conscience in 1977.[SUP][19][/SUP] In 1979, Nyerere had more political prisoners than even South Africa.[SUP][20][/SUP] Press was controlled through refusal of official registration.
Nyerere's prison camps for political dissidents were notorious for practices such as electric shocks, solitary confinement, and denial of basic necessaries. Almost everyone contracted diseases such as tuberculosis, according to survivors.[SUP][21]
The deficit in cereal grains was more than 1 million tons between 1974 and 1977. Only loans and grants from the World Bank and the IMF in 1975 prevented Tanzania from going bankrupt. By 1979, ujamaa villages contained 90% of the rural population but only produced 5% of the national agricultural output.[SUP][27]
[/SUP]He was criticised[SUP][by whom?][/SUP] for his vindictive actions after unsuccessfully appealing to the Pan Africanist Congress to adopt dialogue and détente with Pretoria instead of armed revolution. He supported a leadership coup that installed David Sibeko but after Sibeko's assassination he crushed PAC resistance at Chunya Camp near Mbeya on 11 March 1980, when Tanzanian troops murdered[SUP][citation needed][/SUP] and split up the PAC army into detention camps. Nyerere then pressured the Zimbabwe government to arrest and deport PAC personnel in May 1981. The PAC never recovered and despite rivalling the ANC from 19591981 quickly declined. Its Tanzanian controlled remnant gained only 1.2% in the South African freedom election of 1994.[SUP][citation needed][/SUP][/SUP]
can't be in a least of catholic saints!`
hivyo hukumjua nyerere wewe! Na ulikuwa humsikilizi nyerere kwa sababu hotuba zake, barua zake kwenda kwa viongozi wa nje na nini afanye vyote hivi alikuwa akipangiwa na raia wa kiingereza joan wicken mwenye asili ya kiyahudi.
Joan wicken alikuwa akiitumikia na kulipwa na serikali ya uingereza "kumshauri" nyerere tokea kabla ya uhuru mpaka kufa kwa nyerere, ni great thinker wewe fanya utafiti kidogo kuhusu huyu mwanamke joan wicken na nyerere.
Wakati ulipokuwa ukiimba "zidumu fikra za mwenyekiti" ujue kuwa ulikuwa ukiimba zidumu fikra za joan! Umetiwa changa la macho mkuu! Pole.
Kwa hiyo Joan Wicken aliyekuwa akilipwa na Waingereza ndiye aliyemshauri Nyerere miaka ya Sitini kuvunja mahusiano ya kibalozi na Uingereza kwa vile Uingereza ilikuwa inamsapoti Ian Smith wa Rhodesia (Zimbabwe)? Kweli tunapenda kutengeneza uongo kuwa ukweli.Hivyo hukumjua Nyerere wewe! na ulikuwa humsikilizi Nyerere kwa sababu hotuba zake, barua zake kwenda kwa viongozi wa nje na nini afanye vyote hivi alikuwa akipangiwa na raia wa Kiingereza Joan Wicken mwenye asili ya Kiyahudi.
Joan Wicken alikuwa akiitumikia na kulipwa na Serikali ya Uingereza "kumshauri" Nyerere tokea kabla ya Uhuru mpaka kufa kwa Nyerere, ni great thinker wewe fanya utafiti kidogo kuhusu huyu mwanamke Joan Wicken na Nyerere.
Wakati ulipokuwa ukiimba "zidumu fikra za Mwenyekiti" ujue kuwa ulikuwa ukiimba zidumu fikra za Joan! Umetiwa changa la macho mkuu! pole.
hakuna merekebisho yanayo hitajika hapa jamani? I think this is a malicous attempt to rewrite history...
Julius Nyerere - Wikipedia, the free encyclopedia
Political repression
In 1962, Nyerere created the Preventive Detention Act, which was used to imprison opposition and suppress trade unions. People disappeared and victims are estimated to be in the thousands. International human rights organization Amnesty International adopted 141 prisoners of conscience in 1977.[SUP][19][/SUP] In 1979, Nyerere had more political prisoners than even South Africa.[SUP][20][/SUP] Press was controlled through refusal of official registration.
Nyerere's prison camps for political dissidents were notorious for practices such as electric shocks, solitary confinement, and denial of basic necessaries. Almost everyone contracted diseases such as tuberculosis, according to survivors.[SUP][21]
The deficit in cereal grains was more than 1 million tons between 1974 and 1977. Only loans and grants from the World Bank and the IMF in 1975 prevented Tanzania from going bankrupt. By 1979, ujamaa villages contained 90% of the rural population but only produced 5% of the national agricultural output.[SUP][27]
[/SUP]He was criticised[SUP][by whom?][/SUP] for his vindictive actions after unsuccessfully appealing to the Pan Africanist Congress to adopt dialogue and détente with Pretoria instead of armed revolution. He supported a leadership coup that installed David Sibeko but after Sibeko's assassination he crushed PAC resistance at Chunya Camp near Mbeya on 11 March 1980, when Tanzanian troops murdered[SUP][citation needed][/SUP] and split up the PAC army into detention camps. Nyerere then pressured the Zimbabwe government to arrest and deport PAC personnel in May 1981. The PAC never recovered and despite rivalling the ANC from 19591981 quickly declined. Its Tanzanian controlled remnant gained only 1.2% in the South African freedom election of 1994.[SUP][citation needed][/SUP][/SUP]
Hii ni kweli kabisa wala haina marekebisho kuna kina Chipaka,Zuberi Mtemvu kina Chifu Mareale kina Fundikira,Abdulrahman Babu,wengine wengi walikimbia nchi kama kina Kambona wengine walifukuzwa jeshini na kuzuiwa nyumbani kama kina Bob Nasser(Nasari).Mahfudhi wengine wakapewa kazi nyingine uraiani lakini kwa masharti kama kina Capt.Mushi huyu mwenye malori mengi mfadhili wa Simba jina simkumbuki alikuwa meneja kampuni ya KAMATA na wengine wengi sana siwakumbuki majina yao,wako waliofia gerezani kwa mateso,lakini hayo hayazungumzwi,hiyo ndiyo taswira ya Mwl.Nyerere kwa upande wa pili,tusipende kuongelea mazuri tu,hata mabaya yapo mengi tena ya kutisha.
CAN YOU Mention those PRISONER's? It sometimes Propaganda... NO ONE WAS Imprisoned by NYERERE in 1962
He was not even ruling the country as the PM was Rashid Kawawa; He took Over Afterwards as the Republic President
Chakaza,Kwa hiyo Joan Wicken aliyekuwa akilipwa na Waingereza ndiye aliyemshauri Nyerere miaka ya Sitini kuvunja mahusiano ya kibalozi na Uingereza kwa vile Uingereza ilikuwa inamsapoti Ian Smith wa Rhodesia (Zimbabwe)? Kweli tunapenda kutengeneza uongo kuwa ukweli.
Nyerere wa Wikipedia atabaki kuwa wa hukohuko. Nyerere wa WATANZANIA, tulieishi naye, tukafanyakazi naye, tukamsoma, tukamsikiliza, akafariki, tukamzika atabaki kama tulivyomwona na kumfahamu.
Wawataje angalau watu wawili waliopotezwa na Nyerere
Mhh! afadhali hawa mafisadi wetu wa sasa hivi wengi wao pesa nyingine wanazibakisha na kuwekeza vitega uchumi hapahapa hivyo pesa inazunguka hapahapa nchini na wananchi wengine wanaambulia kazi katika miradi ya mafisadi, lakini FISADI Nyerere yeye kazi yake alikuwa akichota tu na kuwapelekea Wakristo wenzake nje ya nchi mfano Biafra.