Upotoshaji wa Humphrey Polepole kuhusu fedha za MCC

Upotoshaji wa Humphrey Polepole kuhusu fedha za MCC

KWA KUTHIBITISHA UNAFIKI WA MAREKANI NISAIDIENI MASWALI HAYA.
1. Museve Ame/Anaongoza Uganda Kwa Muda Gani Sasa?.

2. Je Muda Aloongoza Museven Unatofauti Gani Na Muda Wa Mugabe?.

3. Uganda Na Zimbabwe Zimezingatia Uchaguzi Wa Haki?.

4. Why Mugabe Awekewe Vikwazo Lakn Museven Aachwe?.

5. Kwanini Gadaf Aliwekewa Vikwazo?

6. Je Kagame Kawekewa Vikwazo Gani Na Marekani?.

7. Kama Marekani Wanahubiri Demokrasia, Why Wampige Gadaf, Sadam?.

Tujiulize Haya Maswali Ndugu Zangu.

Mtoa Mada Kaeleza Vizuri Lakn Ameeleza Kwa Upande Mmoja Tu Bila Kujali Mwingine.

Marekani Wanahubiri Demokrasia Lakn Wao Ndio Wakwanza Kuipinga. Demokrasia Kwao Ipo Kwa Kuwafeva Wao Na Si Vinginevyo.

Ujinga Tulonao Watz Ni Kwmb, Tunatafsiri Na Kuamini Demokrasia Ipo Kwny Uchaguzi Pekee Lakn Tumesahau Kuhusu Huduma Za Kijamii Nazo Zinatakiwa Zitolewe Kwa Demokrasia Ambayo Inagusa Misingi Ya Haki Za Binadamu.

Marekani Walitulazimisha Tuingize Haki Za Binadamu Kwny Katiba Yetu, Lakn Wao Ndio Walitoka Kwao Na Kumuua Sadam Na Gadaf.

Hawa Wamarekani Ni Wanafiki Jaman Mbona Hatutaki Kukubali!.

Mpinzani Wa Kiti Cha Urais Na Musevi Mpaka Sasa Yupo Kizuizini Hatakiwi Kabisa Kutoka Wala Huruhusiwi Kumuona, Lakn Museven Hajawekewa Vikwazo Ye Yuko Poa Tu.

TAMBUENI HILI.
Mtu Anapokulea Wewe Na Familia Yako Maana Yake Ni Kwmb, Hata Siku Akimuhitaji Mkeo Aje Kumfulia Hutoweza Kumzuia Coz Utaogopa Kesho Kunyimwa Misaada.
Tujitegemee Watz, Hata Marekani Wanashida Zao Lakn Wanajifanya Wajanja Kutusaidia Sisi.

Tufe Njaa Tu Lakn Misaada Yao Hatutaki.
Watu wanahoji kifungu cha katiba alichotumia Jecha kufuta uchaguzi wa Zanzibar.
 
Baada ya Marekani kuzuia pesa za MCC kwa sababu ya uchaguzi wa Zanzibar na sheria ya mitandao, CCM hawakukubali ukweli huo. Hawakuamini kama Marekani inaweza kufuta msaada huo kwa sababu ya uchaguzi wa Zanzibar na Cyber Law. Kwahiyo wakaanza kutafuta "vijisababu" vyao.

Wakasema "haiwezekani Marekani wafute msaada kwa sababu ya Zanzibar tu. Lazima watakua na agenda ya siri hawataki kusema.." Nikacheka sana. Yani vijana wa CCM wanaona suala la Zanzibar kama vile si kitu.. yani haiwezeni Zanzibar isababishe tukose hela.

Wao wanaona uchaguzi wa Zanzibar ni sawa na uchaguzi mdogo wa udiwani pale kwetu "Kibosho Manushi" wakasahau kwamba Zanzibar ni nchi na ilikua na kiti Umoja wa mataifa hadi mwaka 1964 kilipofutwa.

Lakini vijana wa CCM wanaipuuza Zanzibar.. Wao wanaona Zanzibar ni kitu kidogo ambacho hakiwezi kusababisha tukose "mabilioni ya Wamarekani"..

Kwa hiyo wakaanza kutafuta sababu zingine ambazo wanaamimi "zinasound" zaidi kiuliko Uchaguzi wa Zanzibar. Na hapa ndipo uzwazwa ulipoanzia.

Mmoja wa makada wa CCM Hamprey Polepole pamoja na "Accorders" wenzie wakaanza kupotosha sababu ya kunyimwa fedha hizo. Wakasema si kwa sababu ya Zanzibar wala Cyber Law ila ni kwa sababu ya Symbion (kampuni ya kuzalisha umeme ya Marekani).

Polepole amenukuliwa mara kadhaa mitandaoni na kwenye runinga akidai Marekani wametunyima pesa za MCC kwa sababu wanajua tutawanyima dili la kuzalisha umeme kwa kampuni yao ya Symbion.

Alifika mbali na kusema "Marekani wanatuonea wivu kwa kuwa Symbion haitapata ulaji wa umeme"!

Nikamuonea huruma sana kijana huyu aliyejingea imani kwa watanzania wakati wa Tume ya Warioba. Huyu ni Accorder type one.. Wale wanaosofia kwa kujipendekeza. Eti kwamba Marekani wanatuonea wivu?? Hahahaah..

Kuna "Facts" ambazo Accorders hawazijui; ngoja niwasaidie halafu tuone kama kweli Marekani wanatuonea wivu.

#Fact_number1
Mradi wa kuzalisha umeme wa Symbion ni wa dola milioni 900 ambapo kwa sasa wametekeleza kwa kiwango cha kama dola milioni 350 hivi. Hizi ni sawa na Shilingi Bilioni 800 za kitanzania (haijafika hata trilioni moja).

#Fact_number2
Pesa za MCC walizotunyima Marekani ni takribani Shilingi Trilioni 1.2 za Kitanzania.

Sasa inawezekanaje mtu akunyime Trilioni 1.2 kwa hofu kwamba utamnyima dili la Bilioni 800? Uzwazwa mkubwa sana huu. Yani unaogopa kumpa mtu viatu vya laki moja kwa sababu unahofia atakunyima kandambili za jero.?

#Fact_number3
Bajeti ya Tanzania (ambayo haijawahi kutekelezwa kwa hata 75%) ni shilingi TRLIONI 22 kwa mwaka!

#Fact_number4
Bajeti ya jimbo la California pekee ni Dola Bilioni 122.6 kwa mwaka, sawa na shilingi TRILIONI 245.2 (exchange rate ya $1 kwa TZS 2,000). Maana yake ni kwamba bajeti ya jimno la Carlifonia peke yake ni sawa na Bajeti ya Tanzania kwa miaka 11.15 (under ceteris peribus).

Sasa jiulize hapa Marekani wanatuoneaje wivu? Bado simuelewi Polepole na genge lake la Mazwazwa. Hivi dereva wa "Range Rover sport" anamuoneaje wivu dereva wa "Starlet Old model"?

#Fact_number5
Bajeti ya ujumla ya Serikali ya Marekani (US Federal Budget) kwa mwaka 2015/16 ni Dola Trilioni 3.8 ambazo ni sawa na shilingi TRILIONI 7,600 za kitanzania. Hiki kiasi ni sawa na bajeti ya Tanzania kwa MIAKA 345 NA MIEZI 6.

Yani tukipewa bajeti ya Marekani kwa mwaka mmoja tu tunaitumia hadi mwaka 2361 (under ceteris peribus). Yani Yesu anaweza kurudi akatukuta tunakula tu pesa ya Mmarekani ya mwaka mmoja. Na ukumbuke kuwa bajeti ya Marekani ni asilimia 21% tu ya GDP ya nchi yao. Bado wana reserve ya mabilioni ya dola.!

Sasa hebu tusaidiane hapa Marekani wanatuoneaje wivu?

Kichwa kinaniuma sana sijui kwa nini hawa Wamarekani wanatuonea wivu kwa ajili ya ki-Symbion chao..!

Kichwa kinaniuma sana, nimemwomba Daktari aniandikie "Brufen" kabisa maana "Diclofenac" imebuma.!
Kwa waliowahi kusoma kile kitabu cha Rai ya Jenerali
Mwandishi Jenerali Ulimwengu watajua tu hapa.....

Nawao pia watakubaliana na lile neno lake ".....hakuna ulemavu mbaya kabisa kama ulemavu wa fikra....."

Nadhani bado ukurupukaji ni mkubwa zaidi uliouganya kwa hizi hoja dhaifu!!

Msingi uliojengea hoja yako ni mwepesi mno..... kajifunze hiyo MCC ni nini kisha uje na majibu mazuri si kukurupuka
 
Kwa waliowahi kusoma kile kitabu cha Rai ya Jenerali
Mwandishi Jenerali Ulimwengu watajua tu hapa.....

Nawao pia watakubaliana na lile neno lake ".....hakuna ulemavu mbaya kabisa kama ulemavu wa fikra....."

Nadhani bado ukurupukaji ni mkubwa zaidi uliouganya kwa hizi hoja dhaifu!!

Msingi uliojengea hoja yako ni mwepesi mno..... kajifunze hiyo MCC ni nini kisha uje na majibu mazuri si kukurupuka
Mkuuu bado msaada unahitajika ndio mana serikali kwenye budget yake bado inasaidiwa
 
KWA KUTHIBITISHA UNAFIKI WA MAREKANI NISAIDIENI MASWALI HAYA.
1. Museve Ame/Anaongoza Uganda Kwa Muda Gani Sasa?.

2. Je Muda Aloongoza Museven Unatofauti Gani Na Muda Wa Mugabe?.

3. Uganda Na Zimbabwe Zimezingatia Uchaguzi Wa Haki?.

4. Why Mugabe Awekewe Vikwazo Lakn Museven Aachwe?.

5. Kwanini Gadaf Aliwekewa Vikwazo?

6. Je Kagame Kawekewa Vikwazo Gani Na Marekani?.

7. Kama Marekani Wanahubiri Demokrasia, Why Wampige Gadaf, Sadam?.

Tujiulize Haya Maswali Ndugu Zangu.

Mtoa Mada Kaeleza Vizuri Lakn Ameeleza Kwa Upande Mmoja Tu Bila Kujali Mwingine.

Marekani Wanahubiri Demokrasia Lakn Wao Ndio Wakwanza Kuipinga. Demokrasia Kwao Ipo Kwa Kuwafeva Wao Na Si Vinginevyo.

Ujinga Tulonao Watz Ni Kwmb, Tunatafsiri Na Kuamini Demokrasia Ipo Kwny Uchaguzi Pekee Lakn Tumesahau Kuhusu Huduma Za Kijamii Nazo Zinatakiwa Zitolewe Kwa Demokrasia Ambayo Inagusa Misingi Ya Haki Za Binadamu.

Marekani Walitulazimisha Tuingize Haki Za Binadamu Kwny Katiba Yetu, Lakn Wao Ndio Walitoka Kwao Na Kumuua Sadam Na Gadaf.

Hawa Wamarekani Ni Wanafiki Jaman Mbona Hatutaki Kukubali!.

Mpinzani Wa Kiti Cha Urais Na Musevi Mpaka Sasa Yupo Kizuizini Hatakiwi Kabisa Kutoka Wala Huruhusiwi Kumuona, Lakn Museven Hajawekewa Vikwazo Ye Yuko Poa Tu.

TAMBUENI HILI.
Mtu Anapokulea Wewe Na Familia Yako Maana Yake Ni Kwmb, Hata Siku Akimuhitaji Mkeo Aje Kumfulia Hutoweza Kumzuia Coz Utaogopa Kesho Kunyimwa Misaada.
Tujitegemee Watz, Hata Marekani Wanashida Zao Lakn Wanajifanya Wajanja Kutusaidia Sisi.

Tufe Njaa Tu Lakn Misaada Yao Hatutaki.





Mkuuu una point sana sana tu,kikubwa hatuwezi kupimana nguvu na Marekani huo ndio ukweli
 
Umeshaambiwa ni fedha za msaada,sasa anayekupa msaada akisitisha ndio unalialia namna hiyo?huwez lazimisha kupewa msaada,unadhani msaada huwo tungelipaswa kupewa mpk lini kama sio mawazo mgando?kunyimwa fedha za MCC ni mwanzo mpya wa kujipanga tuone tunatoka vp,sio kulalamika oooh kichwa kinakuuma
 
Nadhani mtoa mada ana asili ya kufugwa.!! Jambo la pili nadhani ukawa wameishiwa hoja kazi yao sasa ni kudandia yoyote itakayo kuja mbele yao. Wanajua kuwa. Kung'ang'ania hoja ya MCC hakuna mashiko lakini sabbu hawana kingine cha kufanya wala kusema. Wataendelea kutupigia kelele. Tu. Kumbukeni Nchi maskini haiwezi endelea kwa kupewa misaada.
 
Pole pole anasubiri ukuu wa wilaya mimi nawaambia ndio maana kwenye ukweli yeye anaweka uongo, jana VOA nimemsikia mmoja wa wakurugenzi wa mcc Betty Tritter akisema uchaguzi wa zanzibar na sheria ya mitandao ndivyo vilivyosababisha watunyime huo msaada.
 
Polepole ni zwazwa.Kajitoa ufagamu.Yuko tayari watanzania wale nyasi kwa kukosa misaada ili yeye apata U-DC.
 
Dr. JPM wangalie kijana wako Polepole kwa jicho la huruma, kijana ambae anapotosha ukweli kwa masilahi ya CCM hivyo mheshimiwa mpe huyu kijana hata ukuu wa Wilaya nae alambelambe kama Mako...
 
Baada ya Marekani kuzuia pesa za MCC kwa sababu ya uchaguzi wa Zanzibar na sheria ya mitandao, CCM hawakukubali ukweli huo. Hawakuamini kama Marekani inaweza kufuta msaada huo kwa sababu ya uchaguzi wa Zanzibar na Cyber Law. Kwahiyo wakaanza kutafuta "vijisababu" vyao.

Wakasema "haiwezekani Marekani wafute msaada kwa sababu ya Zanzibar tu. Lazima watakua na agenda ya siri hawataki kusema.." Nikacheka sana. Yani vijana wa CCM wanaona suala la Zanzibar kama vile si kitu.. yani haiwezeni Zanzibar isababishe tukose hela.

Wao wanaona uchaguzi wa Zanzibar ni sawa na uchaguzi mdogo wa udiwani pale kwetu "Kibosho Manushi" wakasahau kwamba Zanzibar ni nchi na ilikua na kiti Umoja wa mataifa hadi mwaka 1964 kilipofutwa.

Lakini vijana wa CCM wanaipuuza Zanzibar.. Wao wanaona Zanzibar ni kitu kidogo ambacho hakiwezi kusababisha tukose "mabilioni ya Wamarekani"..

Kwa hiyo wakaanza kutafuta sababu zingine ambazo wanaamimi "zinasound" zaidi kiuliko Uchaguzi wa Zanzibar. Na hapa ndipo uzwazwa ulipoanzia.

Mmoja wa makada wa CCM Hamprey Polepole pamoja na "Accorders" wenzie wakaanza kupotosha sababu ya kunyimwa fedha hizo. Wakasema si kwa sababu ya Zanzibar wala Cyber Law ila ni kwa sababu ya Symbion (kampuni ya kuzalisha umeme ya Marekani).

Polepole amenukuliwa mara kadhaa mitandaoni na kwenye runinga akidai Marekani wametunyima pesa za MCC kwa sababu wanajua tutawanyima dili la kuzalisha umeme kwa kampuni yao ya Symbion.

Alifika mbali na kusema "Marekani wanatuonea wivu kwa kuwa Symbion haitapata ulaji wa umeme"!

Nikamuonea huruma sana kijana huyu aliyejingea imani kwa watanzania wakati wa Tume ya Warioba. Huyu ni Accorder type one.. Wale wanaosofia kwa kujipendekeza. Eti kwamba Marekani wanatuonea wivu?? Hahahaah..

Kuna "Facts" ambazo Accorders hawazijui; ngoja niwasaidie halafu tuone kama kweli Marekani wanatuonea wivu.

#Fact_number1
Mradi wa kuzalisha umeme wa Symbion ni wa dola milioni 900 ambapo kwa sasa wametekeleza kwa kiwango cha kama dola milioni 350 hivi. Hizi ni sawa na Shilingi Bilioni 800 za kitanzania (haijafika hata trilioni moja).

#Fact_number2
Pesa za MCC walizotunyima Marekani ni takribani Shilingi Trilioni 1.2 za Kitanzania.

Sasa inawezekanaje mtu akunyime Trilioni 1.2 kwa hofu kwamba utamnyima dili la Bilioni 800? Uzwazwa mkubwa sana huu. Yani unaogopa kumpa mtu viatu vya laki moja kwa sababu unahofia atakunyima kandambili za jero.?

#Fact_number3
Bajeti ya Tanzania (ambayo haijawahi kutekelezwa kwa hata 75%) ni shilingi TRLIONI 22 kwa mwaka!

#Fact_number4
Bajeti ya jimbo la California pekee ni Dola Bilioni 122.6 kwa mwaka, sawa na shilingi TRILIONI 245.2 (exchange rate ya $1 kwa TZS 2,000). Maana yake ni kwamba bajeti ya jimno la Carlifonia peke yake ni sawa na Bajeti ya Tanzania kwa miaka 11.15 (under ceteris peribus).

Sasa jiulize hapa Marekani wanatuoneaje wivu? Bado simuelewi Polepole na genge lake la Mazwazwa. Hivi dereva wa "Range Rover sport" anamuoneaje wivu dereva wa "Starlet Old model"?

#Fact_number5
Bajeti ya ujumla ya Serikali ya Marekani (US Federal Budget) kwa mwaka 2015/16 ni Dola Trilioni 3.8 ambazo ni sawa na shilingi TRILIONI 7,600 za kitanzania. Hiki kiasi ni sawa na bajeti ya Tanzania kwa MIAKA 345 NA MIEZI 6.

Yani tukipewa bajeti ya Marekani kwa mwaka mmoja tu tunaitumia hadi mwaka 2361 (under ceteris peribus). Yani Yesu anaweza kurudi akatukuta tunakula tu pesa ya Mmarekani ya mwaka mmoja. Na ukumbuke kuwa bajeti ya Marekani ni asilimia 21% tu ya GDP ya nchi yao. Bado wana reserve ya mabilioni ya dola.!

Sasa hebu tusaidiane hapa Marekani wanatuoneaje wivu?

Kichwa kinaniuma sana sijui kwa nini hawa Wamarekani wanatuonea wivu kwa ajili ya ki-Symbion chao..!

Kichwa kinaniuma sana, nimemwomba Daktari aniandikie "Brufen" kabisa maana "Diclofenac" imebuma.!
Pole pole yuko sawa: Kumbuka marekani walinunua kisiwa cha Urusi(Alaska) kwa bei chee wakijua watafaidi nini. Tatizo wewe unaangalia leo wenzako wamarekani wanaangalia miaka 50 ijayo watakuwa wamefaidi nini. Kumbuka milioni haitengenezwi kwa laki vali kwa shilingi moja! Hivyo kidogo kidogo ndivyo atakavyopata huyo mmarekani wako unaefikiri hajali hizo pesa za Simbion. Labda kama Humphrey hakutoa sababu nyingine ya wamerakani kutaka kutoa fedha zao ngoja nikueleze: mfano wamarekani wakikuambia wanakuletea mradi wa kuku wa US $ 100 watakupa us$ 50 ununue hao kuku na fedha iliobaki watakuambia wanaleta consultants wakukufundisha namna ya kufuga hao kuku! Ndivyo wanavyofanya kwenye"miradi" wanayoifadhili na ndio maana huwa haishi bila kuongeza fedha za kuimalizia toka source nyingine!. Sasa niambie hapo utakuwa umeula au umeliwa? Sasa us wakagundua JPM atawatumbua kwenye hilo deal wameamua kukimbia kabla!
 
Pole pole yuko sawa: Kumbuka marekani walinunua kisiwa cha Urusi(Alaska) kwa bei chee wakijua watafaidi nini. Tatizo wewe unaangalia leo wenzako wamarekani wanaangalia miaka 50 ijayo watakuwa wamefaidi nini. Kumbuka milioni haitengenezwi kwa laki vali kwa shilingi moja! Hivyo kidogo kidogo ndivyo atakavyopata huyo mmarekani wako unaefikiri hajali hizo pesa za Simbion. Labda kama Humphrey hakutoa sababu nyingine ya wamerakani kutaka kutoa fedha zao ngoja nikueleze: mfano wamarekani wakikuambia wanakuletea mradi wa kuku wa US $ 100 watakupa us$ 50 ununue hao kuku na fedha iliobaki watakuambia wanaleta consultants wakukufundisha namna ya kufuga hao kuku! Ndivyo wanavyofanya kwenye"miradi" wanayoifadhili na ndio maana huwa haishi bila kuongeza fedha za kuimalizia toka source nyingine!. Sasa niambie hapo utakuwa umeula au umeliwa? Sasa us wakagundua JPM atawatumbua kwenye hilo deal wameamua kukimbia kabla!
Mmarekani kanunua kwa mrusi mbona nchi zote zipo vizuri au unataka kutuaminisha Russia hawaangalii miaka 50 mbele? Jana VOA nimemsikia director mmoja wa mcc anaitwa Betty Tritter anasema tz imenyimwa kutokana na uchaguzi wa zanzibar plus sheria ya mitandao, alikua anahojiwa na shaka ssali hivyo acheni ushabiki wa kisiasa.
 
Mmarekani kanunua kwa mrusi mbona nchi zote zipo vizuri au unataka kutuaminisha Russia hawaangalii miaka 50 mbele? Jana VOA nimemsikia director mmoja wa mcc anaitwa Betty Tritter anasema tz imenyimwa kutokana na uchaguzi wa zanzibar plus sheria ya mitandao, alikua anahojiwa na shaka ssali hivyo acheni ushabiki wa kisiasa.
Nina uhakika Urusi hawakuwa makini na pia walikuwa bado hawajawa USSR na hata siku moja wamarekani hawawezi kusema ukweli! Wewe ndo shabiki wa kisiasa! Wamarekani sio rafiki kama unavyo fikiri!
 
Nina uhakika Urusi hawakuwa makini na pia walikuwa bado hawajawa USSR na hata siku moja wamarekani hawawezi kusema ukweli! Wewe ndo shabiki wa kisiasa! Wamarekani sio rafiki kama unavyo fikiri!
Mimi sipo ku argue kuhusu American interests Bali na argue sababu iliyosababisha tz ikose msaada wa mcc ndio hiyo anayotuelezea pole pole? Unajua wengine we don't just swallow, we chew first.
 
Pole pole yuko sawa: Kumbuka marekani walinunua kisiwa cha Urusi(Alaska) kwa bei chee wakijua watafaidi nini. Tatizo wewe unaangalia leo wenzako wamarekani wanaangalia miaka 50 ijayo watakuwa wamefaidi nini. Kumbuka milioni haitengenezwi kwa laki vali kwa shilingi moja! Hivyo kidogo kidogo ndivyo atakavyopata huyo mmarekani wako unaefikiri hajali hizo pesa za Simbion. Labda kama Humphrey hakutoa sababu nyingine ya wamerakani kutaka kutoa fedha zao ngoja nikueleze: mfano wamarekani wakikuambia wanakuletea mradi wa kuku wa US $ 100 watakupa us$ 50 ununue hao kuku na fedha iliobaki watakuambia wanaleta consultants wakukufundisha namna ya kufuga hao kuku! Ndivyo wanavyofanya kwenye"miradi" wanayoifadhili na ndio maana huwa haishi bila kuongeza fedha za kuimalizia toka source nyingine!. Sasa niambie hapo utakuwa umeula au umeliwa? Sasa us wakagundua JPM atawatumbua kwenye hilo deal wameamua kukimbia kabla!



Mkuu ungepunguza kidogo.mihemko,kwanza Alaska sio kisiwa sawa?

Pia wakkati wamarekani wananunua Alaska toka urusi wala hawakujua ardhini kama.kuna mafuta,karne ya 18 bado mafuta hayakuanza kuchimbwa wallla kutumika, pia marekani kama taifa lolote lile lazma maslahi yake yawe mbele,ni huku Africa tu ndio htutangulizi maslahi ya nchi
 
Mkuu ungepunguza kidogo.mihemko,kwanza Alaska sio kisiwa sawa?

Pia wakkati wamarekani wananunua Alaska toka urusi wala hawakujua ardhini kama.kuna mafuta,karne ya 18 bado mafuta hayakuanza kuchimbwa wallla kutumika, pia marekani kama taifa lolote lile lazma maslahi yake yawe mbele,ni huku Africa tu ndio htutangulizi maslahi ya nchi
Sina mihemuko ( nahisi hauna uchaguzi wa maneno sahihi ya kuandika!)Walichokifanya amerika hawakuwa wajinga na nina uhakika walishagundua kilichokuwa chini ya ardhi ya alaska. Nakubaliana nawe kuwa marekani wanatanguliza maslahi yao kwanza tatizo sisi tukianza kutanguliza maslahi yetu wenyewe kwa wenyewe tunasutana badala ya kuungana kujikwamua!
 
Sina mihemuko ( nahisi hauna uchaguzi wa maneno sahihi ya kuandika!)Walichokifanya amerika hawakuwa wajinga na nina uhakika walishagundua kilichokuwa chini ya ardhi ya alaska. Nakubaliana nawe kuwa marekani wanatanguliza maslahi yao kwanza tatizo sisi tukianza kutanguliza maslahi yetu wenyewe kwa wenyewe tunasutana badala ya kuungana kujikwamua!



Mkuuu una chuki na Marekani.inaonekana ukweli ni.kwamba marekani,china,urusi,ufaransa,uingereza,,india na wengineo wote wanatanguliza maslahi yao as any world power is obvious that it should be oppressive likewise zilivokuwa
Ottoman empire
Roman emperor
British empire
Spanish empire
Persian empire
Mughal empir
Mongol ya Ghengis Khan
Etc ukiwa kiranja na bouncer lazma uwe muonevu,those powers did not become powers by chance but they were daylight roadside robers
 
Mkuuu una chuki na Marekani.inaonekana ukweli ni.kwamba marekani,china,urusi,ufaransa,uingereza,,india na wengineo wote wanatanguliza maslahi yao as any world power is obvious that it should be oppressive likewise zilivokuwa
Ottoman empire
Roman emperor
British empire
Spanish empire
Persian empire
Mughal empir
Mongol ya Ghengis Khan
Etc ukiwa kiranja na bouncer lazma uwe muonevu,those powers did not become powers by chance but they were daylight roadside robers
Ni kweli mmarekani namtazama kwa macho yote kama polisi wa dunia anaetumia kila mbinu kunyonga haki za nchi pindi anapoona maslahi yake yanakiukwa na nvhi hiyo. Mfano Vietnam ilivyopigwa na mmarekani! Je unajua sababu yake? Ghadafi alivyojitahidi"kutubu" lakini wakamgeuka? Je kwa nini mmarekani anaipiga Syria lakini anawaacha is washamiri? Tofautisha kilichotokea wakati urusi walipoingia Syria na kuwatengua kiuno is haukusikoa mmarekani alivyopiga kelele?. Je unafajamu taleban ni zao la mmarekani? Liliundwa ili kumpiga mrusi Afghanistan? Marekani ni shaitwan kwa vile nchi yeyote ikitamka wazi inapinga ushoga mashirika yote ya fedha duniani achilia mbali makampuni mengine yataondoa "misaada" nchini mwako je kuna uhusiano gani kati ya usenge na maendeleo? Huyo ndo mmarekani!
 
Back
Top Bottom