Upotoshaji: Napinga uzi unao sema Diamond kamfananisha yesu na mwanamke

Kwahiyo wewe ndio Diamond umekuja kutoa ufafanuzi sio...

Ujumbe wangu kwako ni kuwa, utungaji wako wa nyimbo ni uleule katika nyimbo zote. Badilisha basi,unless ni masharti ya Mganga
 
Ndindio
Kuna uzi wa kupotosha umefunguliwa ukilenga kupotosha watu dhidi ya wimbo wa msanii Diamond uliotolewa hivi karibuni na naona unazidi kupata umaarufu mkubwa hapa jukwaani.

Na wachangiaji wake wengi wameonekana kusapoti uzi huu bila kuthibitisha hali inayosababisha kuchafua image ya Msanii Diamond mbele ya jamii bila sababu za msingi.

Mistari halisi ya wimbo wa Diamond inasema
"Wewe ndio wangu yesu mkombozi sa mbona petro unaniacha mwenyewe."
akifananisha kitendo cha yeye kuachwa sawa na yesu alivyo muacha petro
yaani main theme hapo ni kuachwa ndio maana katumia kisa kizima cha petro kuachwa na yesu na hajamtaja yesu kama mwanamke.

Ila mtoa mada kasema".... wewe ndio wangu yesu mkombozi sa mbona unaniacha mwenyewe..."
mtoa mada ameamua kutoa neno petro ili kuhalalisha upotoshaji na kumfarakanisha Diamond na jamii ya kikristo.

Hakuna kosa lolote hapo kifasihi zaidi tu tuseme kijana katumia ubunifu.

Wana jf tuwe makini tunapoanzisha na kuchangia uzi tusiwachafue watu mbele ya jamii bila sababu ya msingi.
Ndoo akome alifikiri akimtaja yusu wakiristo watasema safi diamond sio mbaguzi matokeo yake kajikwaa anguka tu kwanza unatuaibisha kiimani
 
Kuna uzi wa kupotosha umefunguliwa ukilenga kupotosha watu dhidi ya wimbo wa msanii Diamond uliotolewa hivi karibuni na naona unazidi kupata umaarufu mkubwa hapa jukwaani.

Na wachangiaji wake wengi wameonekana kusapoti uzi huu bila kuthibitisha hali inayosababisha kuchafua image ya Msanii Diamond mbele ya jamii bila sababu za msingi.

Mistari halisi ya wimbo wa Diamond inasema
"Wewe ndio wangu yesu mkombozi sa mbona petro unaniacha mwenyewe."
akifananisha kitendo cha yeye kuachwa sawa na yesu alivyo muacha petro
yaani main theme hapo ni kuachwa ndio maana katumia kisa kizima cha petro kuachwa na yesu na hajamtaja yesu kama mwanamke.

Ila mtoa mada kasema".... wewe ndio wangu yesu mkombozi sa mbona unaniacha mwenyewe..."
mtoa mada ameamua kutoa neno petro ili kuhalalisha upotoshaji na kumfarakanisha Diamond na jamii ya kikristo.

Hakuna kosa lolote hapo kifasihi zaidi tu tuseme kijana katumia ubunifu.

Wana jf tuwe makini tunapoanzisha na kuchangia uzi tusiwachafue watu mbele ya jamii bila sababu ya msingi.
Mwambieni huyo Mondi..yeye muislamu mara ya pili anazungumzia..mwambieni tutamchapa
 
Kwanini wachukue maneno matano tu wakati sentensi ni zaid ya maneno matano?chuki,wivu na fitna ni sumu
Na hakika unahudhuria club zinapochezwa nyimbo za kidunia (circular).
Nitajie mwimbo wowote uliotaja neno "Yesu (Jesus)" unaopigwa club watu kucheza. Yaani mtu aite pisi yake "Yesu".
Ujumbe wa nyimbo unapelekwa kutokana na muktadha wa namna utakavyotumika na hadhira husika, bila kujali unaamini dini au la.
 
Hata mtume si aliwaacha maswahaba wake!

Kwanini hajatumia mfano wa mtume?

Naongea kama shabiki wa Diamond, masuala ya Imani yapo sensitive yeye atuimbie mambo ya misambwanda
 
Back
Top Bottom