April7
Member
- Aug 5, 2019
- 36
- 70
Wakuu salamu zenu, awali ya yote naomba radhi kwa yeyote atakayekwazika kwa namna yeyote na uzi huu. Niko hapa jukwaani kuelezea baadhi ya mambo yanayotuzunguka katika jamii zetu kwa kuyatengenezea maswali na kuyajibu kwa hoja na so kufuata vile ambavyo tumeaminishwa.
Tofauti ya kimaendeleo kati ya mtu mweusi na mtu mweupe inanipelekea nifikiri tofauti kuhusu historia ya mwanadamu kiujumla. Mfano mdogo tu, taifa langu pendwa la Tanzania (zamani Tanganyika) mpaka wakati huu (2021) wastani lina watu milioni 64, lakini wakati mkoloni analiacha huru taifa hili (1961) aliliacha na watu milioni 9 tu.
Mwaka 1964 baada ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa pamoja taifa lilikuwa na watu milioni 12. Toka mwaka 1964 mpaka 2021 imepita miaka 57 lakini ajabu taifa limepata ongezeko la watu milioni 52.
Ukakasi wangu unakuja hapa; ikiwa tangu Tanzania izaliwe mwaka 1964 ikiwa na mtaji wa watu milioni 12 lakini ndani ya miaka 57 taifa limeongeza watu milioni 52, sasa tangu mwaka huohuo wa 1964 tukirudi miaka 57 nyuma hivi hili taifa lilikuwa na watu wangapi?.
Ukakasi mwingine unakuja kwenye usawa wa binadamu, mawazo yangu yananipelekea kuwa mtu mweupe hayuko sawa na mtu mweusi kwenye kila nyanja, kuanzia muonekano, kufikiri, kuamua n.k.
Mtu mweusi kawa mnuonge kwenye huu ulimwengu, anapangiwa kila kitu na mtu mweupe na lazima atekeleze eidha kwa kupenda au kutopenda. Mtu mweusi hana tofauti na mnyama wa kufugwa.
Mimi nahisi mtu mweupe alikuwepo kwa mda mrefu kwenye huu ulimwengu kwa miaka mingi sana kabla mtu mweusi hajatokea au yawezekana mtu mweusi ni zao la mtu mweupe na ndio maana mtu mweupe anamtumikisha mtu mweusi vile atakavyo.
Jamani kwa historia zote zinazomuhusu mwanadamu, mtu mweupe anaonekana shujaa kwenye kila kitu pia kutokana na ukale wa ulimwengu wa mwanadamu na uchache wa mtu mweusi na wingi wa mtu mweupe ukikokotoa haileti uwiano wa kimahesabu.
Nikija kwenye mambo ya imani/dini huku nako kumejaa ukakasi mwingi mno, nimevisoma vitabu viwili vya kiimani ya kikiristo na kiislamu ( Biblia na Qur'an ) lakini baadae nikaja kugundua hivi vitabu muandishi ni mmoja/kundi moja kwa maana yaliyomo kwenye hivyo vitabu ni kitu kimoja, au muandishi mmoja alikopi kwa mwingine na kupaste kwake.
Ukakasi wa mambo ya kidini unaanzai kwa mungu mwenyewe, kwa uwezo wangu wa kutafsiri mambo nimekuja kumtafsiri mungu wa kwenye hivi vitabu hajui anachokitaka na pia hana ukubwa, busara, huruma wala chochote alichotajwa nacho kwenye hivyo vitatbu.
Mfano mdogo tu wa ukakasi wa mungu wa kwenye biblia ni huu;
"Mungu mkuu (Yehova) alikuwa na uwezo wa kuufanya msitu wa Amazon kuwa taifa lake teule (Israel), lakini kwa mapenzi yake akawaamuru wana wa Israel kuvamia makazi ya watu wengine na kupora mali zao ili waifikie nchi ya ahadi (Palestine)
Ikumbukwe na hao waliovamiwa na kuporwa pia wameumbwa na huyohuyo (Yehova), hizo ni busara za Mungu mkuu.
Mpaka wakati huu kuna mapigano yanaendelea pale Palestine/Israel kwasababu ya ahadi ya Mungu mkuu kuwaagiza wana wa Israel kuelekea nchi ya ahadi (Palestine).
Kuna maeneo mengi sana ambayo hayakaliwi na watu, ambayo wana wa Israel wangepelekwa na Mungu ili atimize ahadi yake kwao, lakini aliwapeleka mahali ambapo pana makazi ya watu wengine. Je! Mungu alitaka kuwagombanisha watu au hapendi kuwaona watu aliishi kwa utulivu? Hapana Mungu ni mwingi wa busara na hekima.
Aibarikie Israel naye atabarikiwa, na aliaaniye naye atalaaniwa na Mungu mkuu."
Pia ukiisoma abari ya ujio wa Yesu ni changamoto nyingine juu ya busara za mungu;
"Safari ya Yesu ilikuwa imepangiliwa kila kitu na Mungu mwenyewe, yaan kuanzia kuzaliwa, hatua za ukuaji mpaka kuteswa kwake hadi kufa. Biblia takatifu katka kitabu cha Luka, Marko na Yohana vimemuelezea kinaga ubaga huyu mpakwa mafuta (masihi).
Watu kama Kefa (Petro/Peter), Yuda Iskariot, Herode, Zakayo na wengine wengi katka maandiko yaliyomzungumzia Yesu ni wahusika ambao Mungu mwenyewe aliwachagua ili lije litimie agano la kukombolewa kwa ulimwengu kupitia mwanae wa pekee ambaye ni Yesu.
Tumaini langu ni kuona/kusikia hawa wahusika wakitajwa kwenye maandiko kuwa siku moja wote watakaa upande wa kuume wa bwana kwa maana walitimiza andiko la bwana la kutaka ulimwengu ukombolewe kupitia damu ya Yesu bila kubagua wahusika.
Yaan haijalishi Yuda Iskariot alimsaliti Yesu au Herode/Pilato walimuhukumu Yesu kwa maana hao wote walikuwa katika mpango wa Mungu wa kitimiza neno lake, wale wahusika wanaoonekana walikuwa waovu kwa Yesu kiuhalisia hawakuwa waovu kwa matakwa yao bali walikuwa programmed (kupangiliwa cha kufanya) na Mungu mwenyewe".
Kwa hakika Kuna mambo mengi ya kufikirisha juu ya maisha ya ulimwengu huu, husuan kwenye hili suala la imani lina wahanga wengi na hapa natarajia kuitwa kafiri, mpagani, mpinga kristo/masihi dajali na majina yote mabaya.
Tofauti ya kimaendeleo kati ya mtu mweusi na mtu mweupe inanipelekea nifikiri tofauti kuhusu historia ya mwanadamu kiujumla. Mfano mdogo tu, taifa langu pendwa la Tanzania (zamani Tanganyika) mpaka wakati huu (2021) wastani lina watu milioni 64, lakini wakati mkoloni analiacha huru taifa hili (1961) aliliacha na watu milioni 9 tu.
Mwaka 1964 baada ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa pamoja taifa lilikuwa na watu milioni 12. Toka mwaka 1964 mpaka 2021 imepita miaka 57 lakini ajabu taifa limepata ongezeko la watu milioni 52.
Ukakasi wangu unakuja hapa; ikiwa tangu Tanzania izaliwe mwaka 1964 ikiwa na mtaji wa watu milioni 12 lakini ndani ya miaka 57 taifa limeongeza watu milioni 52, sasa tangu mwaka huohuo wa 1964 tukirudi miaka 57 nyuma hivi hili taifa lilikuwa na watu wangapi?.
Ukakasi mwingine unakuja kwenye usawa wa binadamu, mawazo yangu yananipelekea kuwa mtu mweupe hayuko sawa na mtu mweusi kwenye kila nyanja, kuanzia muonekano, kufikiri, kuamua n.k.
Mtu mweusi kawa mnuonge kwenye huu ulimwengu, anapangiwa kila kitu na mtu mweupe na lazima atekeleze eidha kwa kupenda au kutopenda. Mtu mweusi hana tofauti na mnyama wa kufugwa.
Mimi nahisi mtu mweupe alikuwepo kwa mda mrefu kwenye huu ulimwengu kwa miaka mingi sana kabla mtu mweusi hajatokea au yawezekana mtu mweusi ni zao la mtu mweupe na ndio maana mtu mweupe anamtumikisha mtu mweusi vile atakavyo.
Jamani kwa historia zote zinazomuhusu mwanadamu, mtu mweupe anaonekana shujaa kwenye kila kitu pia kutokana na ukale wa ulimwengu wa mwanadamu na uchache wa mtu mweusi na wingi wa mtu mweupe ukikokotoa haileti uwiano wa kimahesabu.
Nikija kwenye mambo ya imani/dini huku nako kumejaa ukakasi mwingi mno, nimevisoma vitabu viwili vya kiimani ya kikiristo na kiislamu ( Biblia na Qur'an ) lakini baadae nikaja kugundua hivi vitabu muandishi ni mmoja/kundi moja kwa maana yaliyomo kwenye hivyo vitabu ni kitu kimoja, au muandishi mmoja alikopi kwa mwingine na kupaste kwake.
Ukakasi wa mambo ya kidini unaanzai kwa mungu mwenyewe, kwa uwezo wangu wa kutafsiri mambo nimekuja kumtafsiri mungu wa kwenye hivi vitabu hajui anachokitaka na pia hana ukubwa, busara, huruma wala chochote alichotajwa nacho kwenye hivyo vitatbu.
Mfano mdogo tu wa ukakasi wa mungu wa kwenye biblia ni huu;
"Mungu mkuu (Yehova) alikuwa na uwezo wa kuufanya msitu wa Amazon kuwa taifa lake teule (Israel), lakini kwa mapenzi yake akawaamuru wana wa Israel kuvamia makazi ya watu wengine na kupora mali zao ili waifikie nchi ya ahadi (Palestine)
Ikumbukwe na hao waliovamiwa na kuporwa pia wameumbwa na huyohuyo (Yehova), hizo ni busara za Mungu mkuu.
Mpaka wakati huu kuna mapigano yanaendelea pale Palestine/Israel kwasababu ya ahadi ya Mungu mkuu kuwaagiza wana wa Israel kuelekea nchi ya ahadi (Palestine).
Kuna maeneo mengi sana ambayo hayakaliwi na watu, ambayo wana wa Israel wangepelekwa na Mungu ili atimize ahadi yake kwao, lakini aliwapeleka mahali ambapo pana makazi ya watu wengine. Je! Mungu alitaka kuwagombanisha watu au hapendi kuwaona watu aliishi kwa utulivu? Hapana Mungu ni mwingi wa busara na hekima.
Aibarikie Israel naye atabarikiwa, na aliaaniye naye atalaaniwa na Mungu mkuu."
Pia ukiisoma abari ya ujio wa Yesu ni changamoto nyingine juu ya busara za mungu;
"Safari ya Yesu ilikuwa imepangiliwa kila kitu na Mungu mwenyewe, yaan kuanzia kuzaliwa, hatua za ukuaji mpaka kuteswa kwake hadi kufa. Biblia takatifu katka kitabu cha Luka, Marko na Yohana vimemuelezea kinaga ubaga huyu mpakwa mafuta (masihi).
Watu kama Kefa (Petro/Peter), Yuda Iskariot, Herode, Zakayo na wengine wengi katka maandiko yaliyomzungumzia Yesu ni wahusika ambao Mungu mwenyewe aliwachagua ili lije litimie agano la kukombolewa kwa ulimwengu kupitia mwanae wa pekee ambaye ni Yesu.
Tumaini langu ni kuona/kusikia hawa wahusika wakitajwa kwenye maandiko kuwa siku moja wote watakaa upande wa kuume wa bwana kwa maana walitimiza andiko la bwana la kutaka ulimwengu ukombolewe kupitia damu ya Yesu bila kubagua wahusika.
Yaan haijalishi Yuda Iskariot alimsaliti Yesu au Herode/Pilato walimuhukumu Yesu kwa maana hao wote walikuwa katika mpango wa Mungu wa kitimiza neno lake, wale wahusika wanaoonekana walikuwa waovu kwa Yesu kiuhalisia hawakuwa waovu kwa matakwa yao bali walikuwa programmed (kupangiliwa cha kufanya) na Mungu mwenyewe".
Kwa hakika Kuna mambo mengi ya kufikirisha juu ya maisha ya ulimwengu huu, husuan kwenye hili suala la imani lina wahanga wengi na hapa natarajia kuitwa kafiri, mpagani, mpinga kristo/masihi dajali na majina yote mabaya.