Kimwerymdodo5
JF-Expert Member
- Feb 10, 2019
- 2,040
- 3,286
mtoa uzi alikirupuka...
sawa mgalatia,hakuna mkristo mkurupukaji, mwenye matusi na dharau kama wewe. Soma nilichoandika soma na alichoandika jamaa. Hizo chuki na matusi yako hayakusaidia kitu.Mpumbavu umekuja kumtetea mpumbavu mwenzio humu unadhani utapata huruma? Yesu afananishwe na demu wa diamond wa kufikirika halafu iwe sawa? Diamond ni Muislamu haya mafundisho ya Yesu na Petro kuyapeleka kwenye mapenzi amefundishwa na nani? Yesu na Petro walikuwa wapenzi?
Tena usituudhi kibaraka mchumia tumbo mkubwa. Kamwambie huyo fala mwenzio, Wakristo tunamuhitaji.
ile ya Ney wa Mitego ile ni sababu kibinadamu na Kiuhalisia wapo watu wanapitiaga magumu mpaka IMANI yao inatetereka na Kujiuliza Hivo kweli Mungu yupo? Mbona anaacha mambo yaende kombo na Watu Wema kupata Mateso na Mataabiko na Watu Wabaya na Makatili kutusua kimaisha? Hapo MTU anajiuliza "Why Me Lord?", "Lord where are you?"
umesoma nilichoandika au unakurupuka tu ku comment???Kwani hawezi kuimba bila kumtaja Yesu pili kwanini amfananishe Yesu na demu wake na mbona hapo asingeimba wewe ndiwe wangu mtume Mohammed sasa nasibu mbona unaniacha uone kama yasingetokea maandamano nchi nzima ya waisilamu kwamba jamaa amekufuru lakini kumbuka mtoto akimtukana jirani kama hasipo onya kuna siku pia atamtukana baba na mama yake
Fact kaka achana na hao mambugira kazi kushadadia tu pasipo kujua fasihi.Hata angemtukana atajipa laana mwenyewe
Ukristo umejengwa katika misingi ya waabuduo katika roho na kweli ndio wata urithi ufalme wa Mungu.
Hakuna mkiristo wa kweli ataanzisha vita ya kumtetea Kristo masiha maana Nguvu na uweza una yeye Kristo akiona kuna kosa diamond kafanya atajua nini amfanye!
Mungu wetu ni Mungu wa upendo kama Diamond kakosea amsamehe hajui atendalo.
Wewe nae ndo hautushitui Wana jf nowdays.Misukule bana
Sasa mbona hayana ubaya kabisaKama hukuwaelewa, wanachobishania ni hayo maneno 5 hapo
Diamond ameanza kuvurugwa na speed ya konde boi kiasi cha kupoteza focusLini yesu alimuacha petro
That's wrong
Petro ndiye aliyemkana yesu
Usimtetee jamaa kazingua
Wengi wanatumia mihemko,hawajui ukristo unataka nini....kuna utofauti mkubwa sana kati ya ukristo na uislamuHata angemtukana atajipa laana mwenyewe
Ukristo umejengwa katika misingi ya waabuduo katika roho na kweli ndio wata urithi ufalme wa Mungu.
Hakuna mkiristo wa kweli ataanzisha vita ya kumtetea Kristo masiha maana Nguvu na uweza una yeye Kristo akiona kuna kosa diamond kafanya atajua nini amfanye!
Mungu wetu ni Mungu wa upendo kama Diamond kakosea amsamehe hajui atendalo.
Acheni utaahira ktk mambo yanayohitaji umakini...Acheni ushabiki maandaziTunakoelekea Diamond anaweza kutooga mwaka na kuanza kunuka lakini kuna mtu atasema ni Cologne/Perfume hiyo ametumia
Maada imeeleweka hatimae wenye chuki mmeumbukaMisukule bana
Kwanini wachukue maneno matano tu wakati sentensi ni zaid ya maneno matano?chuki,wivu na fitna ni sumuKama hukuwaelewa, wanachobishania ni hayo maneno 5 hapo
Mpumbavu ni wewe tena taahira kabisa.Ulivyo na chuki mpaka maada huoni inazungumzia nini.Mtakufa na chuki zenu mavi nyie wakat kijana anazidi kuwa boss.Mpumbavu umekuja kumtetea mpumbavu mwenzio humu unadhani utapata huruma? Yesu afananishwe na demu wa diamond wa kufikirika halafu iwe sawa? Diamond ni Muislamu haya mafundisho ya Yesu na Petro kuyapeleka kwenye mapenzi amefundishwa na nani? Yesu na Petro walikuwa wapenzi?
Tena usituudhi kibaraka mchumia tumbo mkubwa. Kamwambie huyo fala mwenzio, Wakristo tunamuhitaji.