denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,487
- 68,270
Tatizo hawa waandishi wa habari wa siku hizi hawaaminiki, njaa imewatawala sana, anaweza kuwa anaandika kuujuza umma kwa nia njema, lakini nikitazama wanavyotumiwa na wanasiasa, hasa wa CCM, napata mashaka nao, nikizingatia wakati huu CCM wanavyohangaika kujinasua na balaa walilojitakia la DPW.Nadhani hoja hapa ni kwamba mmojawapo wa wamiliki amefariki wiki mbili zilizopita bila ya kupata haki yake.
Luqman ameandika kuonesha kwamba wapo waliodhulumiwa wakati Magufuli akiwa Rais na wanakufa bila ya kupata haki zao.
Dunia haiwezi kusimama kisa tunajadili bandari. Acha mambo mengine nayo yaendelee.