Upompompo wa madaktari wa kibongo hasa wa muhimbili

SKY TP

Member
Jan 27, 2012
10
0
Inasikitisha sana kwa tuwazaniao kuwa ndiyo wakombozi wa afya zetu kuendeleza upompompo kwa kiasi hicho cha kuendelea kuangamiza afya na uhai wa watu.Mara ya kwanza mlifanya upasuaji wa kichwa mkapasua mguu na wamguu mkapasua kichwa mkasema ooohoo cjuh kakaenda kakarudi Je na huyo mtoto mliomdunga masindano sababu ni hipi. midhani nakubaliana na usemi kwamba hapa bongo watu huvamia fani. Mfano huyo daktari walikuwa wawe wamachinga ndio kazi inayowafaa bali sio udaktari.Na ndiyo maana wenye zao huenda nje kutibiwa na pia cjasikia watu kutoka abroad wakija kutibiwa hapa. NAWACHUKIA SANA HAO MADAKTARI FEKI YAANI KAZI YENU NI KUDAI PESA KUONGEZEWA.NINGEKUA NDIO NATAWALA HII NCHI MPUUUZI YEYOTE MWENYE KUHATRISHA AFYA ZA WATU NI KUPIGA SHABA LIKE CHINA.
 
sijakuelewa ... mtoto gani ... hebu lete habari kamili ..
 
Mkuu hebu weka vizuri hii habari, hakuna atakayekupiga we iweke vizuri tuwasaidie madaktari
 
Ndugu unapokwenda thietre ndiyo maana unasaini kibali cha kufanyiwa upasuaji, ukiingia huko anything may happen either kufa, kutoa kiungo ambacho hakikutarajiwa kama Dr atakavyoona inafaa au ukapata reaction ya dawa kama ilivyotokea kwa huyu mtoto. Sasa kwa kuwa mama yake alisign kibali yote mnatakiwa kupokea msitarajie mazuri wakati wote wakati mwingine hata mabaya hutokea coz ya anatomical difference, and chemical difference. Acha kulaumu, hizi ni errors tu coz 99.9% ya wagonjwa wanaofanyiwa operation operation zao hufanikiwa only 0.1% ndizo hufail, hv tungekuwa tunafanya mistakes wanazofanya wanasiasa, wanasheria kwenye mikataba mngetutia vidole kwenye macho. Sector ya afya ndo inayofanya kazi vizuri zaidi hapa nchini kuliko fani yeyote, and yet tunapofanya errors tunalaumiwa mpaka basi. Mbona CCM wanafanya makosa kila siku and yet mnaendelea kuwapa kura. Acheni kubwabwaja tumieni akili. Ujue maana ya kibali cha upasuaji sio utegemee majibu positive tu, hata negative hutokea ingawa ni very rare ndo imekukuta sasa unatakiwa kupokea. Sorry kama nitakuwa nimewakwaza
 
Skypt karibu aga khan kama pesa unayo usipende kukashifu mungu ni wa ajabu. Yanayotokea bongo hata uk au usa yameshatokea cheki google. Inaonyesha uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sanaaa IQ 0.5.
 
Inasikitisha sana kwa tuwazaniao kuwa ndiyo wakombozi wa afya zetu kuendeleza upompompo kwa kiasi hicho cha kuendelea kuangamiza afya na uhai wa watu.Mara ya kwanza mlifanya upasuaji wa kichwa mkapasua mguu na wamguu mkapasua kichwa mkasema ooohoo cjuh kakaenda kakarudi Je na huyo mtoto mliomdunga masindano sababu ni hipi. midhani nakubaliana na usemi kwamba hapa bongo watu huvamia fani. Mfano huyo daktari walikuwa wawe wamachinga ndio kazi inayowafaa bali sio udaktari.Na ndiyo maana wenye zao huenda nje kutibiwa na pia cjasikia watu kutoka abroad wakija kutibiwa hapa. NAWACHUKIA SANA HAO MADAKTARI FEKI YAANI KAZI YENU NI KUDAI PESA KUONGEZEWA.NINGEKUA NDIO NATAWALA HII NCHI MPUUUZI YEYOTE MWENYE KUHATRISHA AFYA ZA WATU NI KUPIGA SHABA LIKE CHINA.

Mgomo wa madaktari ulianza muda mrefu sana...na hata watumishi wengine wa umma wako kwenye mgomo baridi,wachache sana wanafanya kazi kwa umakini.Wengi wao ni bora liende.
 
Sijui sn lakin inastaajabisha sana unapokuta mtu wa kichwa anapasuliwa miguu na vifo vingi vinasababishwa
na uzembe tu. Period!!
 
Ndugu unapokwenda thietre ndiyo maana unasaini kibali cha kufanyiwa upasuaji, ukiingia huko anything may happen either kufa, kutoa kiungo ambacho hakikutarajiwa kama Dr atakavyoona inafaa au ukapata reaction ya dawa kama ilivyotokea kwa huyu mtoto. Sasa kwa kuwa mama yake alisign kibali yote mnatakiwa kupokea msitarajie mazuri wakati wote wakati mwingine hata mabaya hutokea coz ya anatomical difference, and chemical difference. Acha kulaumu, hizi ni errors tu coz 99.9% ya wagonjwa wanaofanyiwa operation operation zao hufanikiwa only 0.1% ndizo hufail, hv tungekuwa tunafanya mistakes wanazofanya wanasiasa, wanasheria kwenye mikataba mngetutia vidole kwenye macho. Sector ya afya ndo inayofanya kazi vizuri zaidi hapa nchini kuliko fani yeyote, and yet tunapofanya errors tunalaumiwa mpaka basi. Mbona CCM wanafanya makosa kila siku and yet mnaendelea kuwapa kura. Acheni kubwabwaja tumieni akili. Ujue maana ya kibali cha upasuaji sio utegemee majibu positive tu, hata negative hutokea ingawa ni very rare ndo imekukuta sasa unatakiwa kupokea. Sorry kama nitakuwa nimewakwaza

Dr umeongea vizuri ila take a note kwamba unaposema wanasheria unakosea may be useme wanasheria wa serikali maana kuna tofauti kubwa sana!
 
Back
Top Bottom