Inasikitisha sana kwa tuwazaniao kuwa ndiyo wakombozi wa afya zetu kuendeleza upompompo kwa kiasi hicho cha kuendelea kuangamiza afya na uhai wa watu.Mara ya kwanza mlifanya upasuaji wa kichwa mkapasua mguu na wamguu mkapasua kichwa mkasema ooohoo cjuh kakaenda kakarudi Je na huyo mtoto mliomdunga masindano sababu ni hipi. midhani nakubaliana na usemi kwamba hapa bongo watu huvamia fani. Mfano huyo daktari walikuwa wawe wamachinga ndio kazi inayowafaa bali sio udaktari.Na ndiyo maana wenye zao huenda nje kutibiwa na pia cjasikia watu kutoka abroad wakija kutibiwa hapa. NAWACHUKIA SANA HAO MADAKTARI FEKI YAANI KAZI YENU NI KUDAI PESA KUONGEZEWA.NINGEKUA NDIO NATAWALA HII NCHI MPUUUZI YEYOTE MWENYE KUHATRISHA AFYA ZA WATU NI KUPIGA SHABA LIKE CHINA.