The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Naruhusiwa kuhudhuria hii mechihahaaaaa Dena bana halafu nasikia leo kuna mechi saa ngapi ivi?
Naruhusiwa kuhudhuria hii mechihahaaaaa Dena bana halafu nasikia leo kuna mechi saa ngapi ivi?
hahaaaaa Dena bana halafu nasikia leo kuna mechi saa ngapi ivi?
Ohhh!! That easy??
Nope!!!!!Mi Muarusha!
Hahahah unamfagilia huyo......
Yani nang atwa nakupulizwa....sijui nije kulala kwako leo!
hhahhah....pole ehhhh!Mimi nilikuwa mkali kweli. Ilikuwa kila my nanilii wangu akikosea ninaye. Siku moja akaamua kunitolea uvivu, nikapata kipondo cha nguvu; kwa hiyo nikaamua kuwa mpole. Sasa sijui mimi utaniweka kwenye kundi gani?
Sali Baba Yetu 3, Salamu Maria 3, Atukuzwe 3 utasamehewa dhambi zakoKuanzia sasa nikiona post yako sisomi
Ha ha ha ha nitakujibu kwenye PM hapa naogopa kuharibu
Hahahaha then you can seek my comfortArguing with mr. nanii will only give me a headache!
Huwa natafuta maana ya hili neno kwa kiingereza ila hadi leo bado sijapataNaisubiri ivo mwayego usinitose lakini.