CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,858
- 687
ukiendelea kubisha nitalembea album zima la koffi hewani, bora ukuwe mpole tu kama sredi inavyosema. halaf mbona Keren Happuch simuoni tena aisee! nimeanza kupoteza nguvu za kutype hafla!
Hujasoma quote yangu nini??
Nilipo-type tu kwamba KH anapenda miksa baaaaasi
Nikawa nimeua tembo kwa kijiti cha kutolea nyama nilichokipata pale manzese
Saa hizi yuko hapa anavaa nguo za ku . . . . .