Upole!!

Upole!!

dah! yaani hili bahati la leo kuliko kushinda lotto, hapa shwari tu Mrembo wangu, nimepoteza kilo kadhaa kwa kukumiss mawazoni mwangu, hope uko sawa na unanimiss pia, ukisema hukunimiss nagoma kukoga siku tatu mfululizo, pliz say u missed me.

bek to ze topik: wewe unapenda mpole kama mimi, au twanga twanga kama uporoto?

Anapenda miksa kama CPU
 
Basi ulikosea kuandika uliposema HUWEZI KUWA MPOLE coz ukisema hivi maana yake ni kitu cha kuamua, wakati ukweli ni kwamba HUNA UPOLE

Hubby naomba uqoute hiyo kitu maana sio maneno yangu kabisa!!!
Siwezi kua na mpole maybe ila hata hiyo sijasema!
 
dah! yaani hili bahati la leo kuliko kushinda lotto, hapa shwari tu Mrembo wangu, nimepoteza kilo kadhaa kwa kukumiss mawazoni mwangu, hope uko sawa na unanimiss pia, ukisema hukunimiss nagoma kukoga siku tatu mfululizo, pliz say u missed me.

bek to ze topik: wewe unapenda mpole kama mimi, au twanga twanga kama uporoto?

Hahahaah...si umeona?... umetokea tu na kucheka nimecheka...sijui unaendaga wapi jamani???!!! usiwe unapotea hivyo bana...!
Nafikiri leo siku inaisha vizuri kabisa, baada ya kumwona Mr. Kloro...

Back to the topic: Mimi napenda mpole, ila sio kama anayefanana na descrption ya Lizzy ya upole, ni kama zezeta hivi...mhhh hapana bana!
 
Ningekuwa bado ningemtafuta mpole lakini ningemuonea ile mbaya maana kwa ukorofi nilionao hatungewezana tunawezana na mkorofi mwenzangu.

Ila dah!!! Nashukuru kwa yuziful thread

unajua ngoja niwambie nyinyi wadada,
we ukiona mwanaume mpole usijidanganye kuwa umepata sana,
sometimes hawa wapole wana namna yao ya kujiliwaza,
wewe unamsema sema home, unamnyayapaa na maneno yako yasokuwa na adabu,
Anakuenjoy tu, taratibu anaenda kuliwazwa na wale wanaojua kuwa mume hakaripiwi!!!!!!!!
 
khaaaa! kweli wewe kibaka mzoefu! ulitokaje tokaje lile swagga la juzi baada ya kudakwa unaondoka na kiloba cha korosho?

bek to ze topik: refer to my two yuziful last posts

Kwenye kiroba niliweka majani ya migomba kwa ajili ya kulia makande
Topik
Hapa JF umewahi kukutana na mrembo mpole?? Hata kwa maandishi tu . . .
 
Kwa faida ya kina kaka embu wadada tujuzane mnapenda wapenzi/wenzi wenu waweje linapokuja swala la upole.Hapa siongelei ule upole wa muda kwamba ikitokea ugomvi mara moja moja anaweza kujishusha ...naongelea ule upole ambao ndio tabia yake.Yani kila kitu ye anakua mdogo tu....hata kama kosa sio lake anakua mdogo...hata kama anaonewa anakua mdogo!!

Binafsi mi naogopa kua na mtu wa aina hii kwenye mahusiano kwasababu najijua ni mkorofi kidogo kwahiyo naona kama ntamuonea sana.Iwe kwa makusudi au la najua mwisho wa siku ntaishia kujisikia vibaya na ntakua nimeshamuonea tayari!!Napenda mtu ambae nikikosea atanipa live na sio kwakunibembeleza maana wakati mwingine mtu akikwambia kitu kwa utaratibu ni rahisi kupotezea ila ukiona kakasirika kweli usikilizaji na uelewaji unaongezeka!!

Michango tafadhali......

mimi mpaka vibao nachapwa na demu sipendi kumuudhi hata kama sina kosa
 
Mi niko poa dear....hopefully na wewe uko shwari kabisa!!

Yani uliyoandika ndo haswaaa nnachomaanisha!!
Unakuta mtu hata ukikosea anaogopa kukwambia....kil akitu kinahusu kukufurahisha wewe..ukinuna kidogo tu hata kama wewe ndo umekosea basi anaanza kukubembeleza!!Ntaishia kuboreka mpaka mwisho!

Nilipoona tu your statement nikajua tuko mtaa mmoja, na kua huta regret mipango ile ninayomilizia.... Mwanumwe mpole, mpole mpaka majirani wanaanza kua na wasi wasi kua labda wewe ndo ulimlazimisha kukaa nae... Ya nini ???
 
mwanaume mpole sana anatakiwa awe na mwanamke mpole pia maana ikiwa tofauti watu wataona siku zote anaonewa na ananyamaza sio kwamba hataki kukujibisha au hajui umekosea, yeye anaona taabu tu kujibizana anaona bora akae kimya ila watu wa aina hii akiibuka siku moja! utakimbia nyumba
 
Duh Bacha naona umeamua kutufungua macho sio tunamfurahia Mr Yes kumbe katengeneza mizinga yake mahali .


unajua ngoja niwambie nyinyi wadada,
we ukiona mwanaume mpole usijidanganye kuwa umepata sana,
sometimes hawa wapole wana namna yao ya kujiliwaza,
wewe unamsema sema home, unamnyayapaa na maneno yako yasokuwa na adabu,
Anakuenjoy tu, taratibu anaenda kuliwazwa na wale wanaojua kuwa mume hakaripiwi!!!!!!!!
 
Hubby naomba uqoute hiyo kitu maana sio maneno yangu kabisa!!!
Siwezi kua na mpole maybe ila hata hiyo sijasema!

Pengine nimegeuza maneno
Umesema NAOGOPA KUWA MPOLE
Mi naona huogopi ila huwezi hata kuwa hivyo
 
Kwa faida ya kina kaka embu wadada tujuzane mnapenda wapenzi/wenzi wenu waweje linapokuja swala la upole.Hapa siongelei ule upole wa muda kwamba ikitokea ugomvi mara moja moja anaweza kujishusha ...naongelea ule upole ambao ndio tabia yake.Yani kila kitu ye anakua mdogo tu....hata kama kosa sio lake anakua mdogo...hata kama anaonewa anakua mdogo!!

Binafsi mi naogopa kua na mtu wa aina hii kwenye mahusiano kwasababu najijua ni mkorofi kidogo kwahiyo naona kama ntamuonea sana.Iwe kwa makusudi au la najua mwisho wa siku ntaishia kujisikia vibaya na ntakua nimeshamuonea tayari!!Napenda mtu ambae nikikosea atanipa live na sio kwakunibembeleza maana wakati mwingine mtu akikwambia kitu kwa utaratibu ni rahisi kupotezea ila ukiona kakasirika kweli usikilizaji na uelewaji unaongezeka!!

Michango tafadhali......

Ndio maana tumeanzisha chama cha kututetea, vipigo kutoka kwa mabaunsa vimezidi. Ila mtu wa dizaini uliyosema siyo mpole ila ni broken heart na hajiamini.
 
Back
Top Bottom