britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 17,177
- 41,623
Wewe ulisikia wapi?Toka hadharani utuongoze tuwe pamoja kumngoa yule mama.
Watanzania sisi ni wajinga na hatujui kudai haki zetu.
Watu wa sengerema wanapiga pesa za umma tuu kmmae zao
Yaani hivi vita vinatakiwa kuanzia chini kwenye level ya Utanganyika!
Si leo wala kesho, labda 2035 tutaona kama walichofanya gen z wa kenya.Natabiri... Ipo siku WaTanganyika watajitafuta na kujipata! Hapatakalika!
Wewe habari zako ni za wakristo tu; kwako hakuna nchi inayoitwa Tanzania? Unaishi nchi gani wewe; kuna nchi inaitwa Islam? Iko wapi hiyo?Dah, wakristo Wana chuki bana!!
Ndiyo maana huwasikii tena akina Othman Masoud wakililia Mamlaka kamili; kwa sababu wamekwisha jiokotea koloni linalowanufaisha kuliko walivyo tegemea ingewezekana.Yaani hivi vita vinatakiwa kuanzia chini kwenye level ya Utanganyika!
Yaani WaTanganyika wajue kipi ni chao peke yao na kipi ni cha pamoja na Wazanzibari (WaTanzania).
WaTanganyika kimsingi wanaibiwa sana rasilimali muhimu kwa maslahi ya Wazanzibari...
Nendeni Zanzibar mkayaone maendeleo ya vitu kwa macho! Bandari ya Kizimkazi inajengwa... Barabara zinajengwa... Hospitali, shule, masoko, stendi, flyovers, viwanja vya micheZo...kwa fedha zao zipi?
Viongozi wao wanakuwa matajiri kutokana na rasilimali za Tanganyika!
Natabiri... Ipo siku WaTanganyika watajitafuta na kujipata! Hapatakalika!
Wakristo tuna upendo. Na tunatakiwa kutetea wanaoonewa. Ndivyo Yesu alivyotufundisha.Dah, wakristo Wana chuki bana!!
Chuki na upumbavu na unafiki ni nguzo za UISLAMU tofauti ya waislamu na wakristo na wapagani ni hiyo ...hivyo hapo ulipo weka neno "chuki" weka NENO UZALENDO ...YAANI WAKRISTO NI WAZALENDO WAKATI WAISLAMU NI WANAFIKI ,WANACHUKI ,NA UPUMBAVU WANAO ..niliuliza hapa ni kiongozi gani hata mmoja muislamu aliye wahi kuwa MZALENDO NCHINI NITAJIWE MMOJA TU hata ukimtizama shekh ponda siyo MZALENDO kwa sababu yeye madai yake siku zote ni yakubagua dini ....Dah, wakristo Wana chuki bana!!
Chuki anayo unayo wewe na Rostam Azizi rafiki wa kikwete kuiba Rasilimali za Nchi kisha kushinikiza Lisu awekwe Gerezani kimyume cha haki za binadamuDah, wakristo Wana chuki bana!!
Wale waislam chawa wa ccm wanufaika wa matendo maovu wizi wa Rasilimali za Nchi wengi ni wapumbavu sana, wanafanya mambo ya ajabu hovyo wakiguswa wanakimbilia kujificha kwenye Kisingizio cha Udini , mfano mwizi kama Rostam Aziz rafiki wa mama na kikwete akikemewa wanadai ni Udini na kumshambulia aliyekataa maovu, huu Upumbavu wa kutumia Udini kifala fala ndiyo umelifikisha Taifa kwenye Hali mbaya kisiasa, tukatae tukemee huu upumbavu kwani Tanzania haina Dini na hakuna udini kwenye kukataa maovuChuki na upumbavu na unafiki ni nguzo za UISLAMU tofauti ya waislamu na wakristo na wapagani ni hiyo ...hivyo hapo ulipo weka neno "chuki" weka NENO UZALENDO ...YAANI WAKRISTO NI WAZALENDO WAKATI WAISLAMU NI WANAFIKI ,WANACHUKI ,NA UPUMBAVU WANAO ..niliuliza hapa ni kiongozi gani hata mmoja muislamu aliye wahi kuwa MZALENDO NCHINI NITAJIWE MMOJA TU hata ukimtizama shekh ponda siyo MZALENDO kwa sababu yeye madai yake siku zote ni yakubagua dini ....
Unavyomwita mwizi kisa umejificha kwenye ID feki? Toa utambulisho wako halisi ili iwe rahisi kuthibitisha uwizi wake, ameiba nini, km kila tajiri ni mwizi na kuiba ni rahisi kwanini usiibe wewe. Chukia umaskini badala ya kuchukia matajiriWale waislam chawa wa ccm wanufaika wa matendo maovu wizi wa Rasilimali za Nchi wengi ni wapumbavu sana, wanafanya mambo ya ajabu hovyo wakiguswa wanakimbilia kujificha kwenye Kisingizio cha Udini , mfano mwizi kama Rostam Aziz rafiki wa mama na kikwete akikemewa wanadai ni Udini na kumshambulia aliyekataa maovu, huu Upumbavu wa kutumia Udini kifala fala ndiyo umelifikisha Taifa kwenye Hali mbaya kisiasa, tukatae tukemee huu upumbavu kwani Tanzania haina Dini na hakuna udini kwenye kukataa maovu
Mnakosea sana kugeuza haya mambo Kwa sura ya udini kwani mnafaidika na nini?Dah, wakristo Wana chuki bana!!
Hili linatatiza sana; na kweli usipokuwa mwangalifu unaweza kutoa lawama za kijumla jumla namna hii. Uamini wangu ni kuwa wapo waTanzania wenye dini ya kiislamu ambao ni wazalendo kabisa kwa nchi yao.NCHINI NITAJIWE MMOJA TU hata ukimtizama shekh ponda siyo MZALENDO kwa sababu yeye madai yake siku zote ni yakubagua dini ....