Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 4,406
- 8,547
majukumu ya kimaisha hupunguza hamu ya tendo la ndoa...So team kataa ndoa wawahi kuoa ili wapate watoto mapema kabla chuma hazijakata bearings
Miaka ya 2003 ndio ulikuwa kijana? Mzee okoka acha pombeMiaka ya 2003 kipindi cha ujana wangu ,na hapo movie mbalimbali zimetoka kwa fujo 😅
Alafu mnaipumzisha kwa muda gani?Seran usicheke tu , kipindi chetu tulikua tunaichapa mpka mpaka inakandwa na maji ya moto eti 😅