Upo wapi ufundi wangu?

Upo wapi ufundi wangu?

Miaka ya 2003 kipindi cha ujana wangu ,na hapo movie mbalimbali zimetoka kwa fujo 😅


Kama muhanga wa movie, nikakutana na movie la spattacus hii anaijuia Seran na Vincenzo Jr mtaalamu wa movie



Nilikua naichapa napiga vitako kispatakasi na kile kifimbo cha manyoya 😅


Ila sasa hivi ni tako moja kwa wivu mkubwa , huku nikiwaza atataka shilingi ngapi gademitt 🤣
Sparrow wa pirate of the sea😊☺️

Kaka mzima wewe
 
Miaka ya 2003 kipindi cha ujana wangu ,na hapo movie mbalimbali zimetoka kwa fujo 😅


Kama muhanga wa movie, nikakutana na movie la spattacus hii anaijuia Seran na Vincenzo Jr mtaalamu wa movie



Nilikua naichapa napiga vitako kispatakasi na kile kifimbo cha manyoya 😅


Ila sasa hivi ni tako moja kwa wivu mkubwa , huku nikiwaza atataka shilingi ngapi gademitt 🤣
Gademitt tafuta hela!

Wait 2003 ulikuwa kijana bwashe acha kutuuzia chai basi!!!!
 
Tubaki huku ba mnyang’ode 😁
EBFC69C7-2BEB-4907-BF65-6CD24FD12030.jpeg
 
Back
Top Bottom