Bwana ndiye mchungaji wangu...Acha zako umekua vipi ?
Wewe kubali tu huna stamina kwenye show za kibabe .😁😁😁 tule pombe wa wivu mkubwa mno , nilitaka kuacha kama ndugu yetu Kiranga nikapata wivu mkubwa mno 😅pale nilipo ona koromeo la mwana linapokea utukufu 🍺😊
Hahahaa kadri umri unavyoenda ,damu inapungua kuchemka ,Mungu akikujalia umri mrefu hadi tako 1 itashindikana.Miaka ya 2003 kipindi cha ujana wangu ,na hapo movie mbalimbali zimetoka kwa fujo 😅
Kama muhanga wa movie, nikakutana na movie la spattacus hii anaijuia Seran na Vincenzo Jr mtaalamu wa movie
Nilikua naichapa napiga vitako kispatakasi na kile kifimbo cha manyoya 😅
Ila sasa hivi ni tako moja kwa wivu mkubwa , huku nikiwaza atataka shilingi ngapi gademitt 🤣
Bwashee 😅 umenipa hasira mno , 😆 sema inaomba hela sana ila naenda kuichapa ki spattacus kmmmk😁Wewe kubali tu huna stamina kwenye show za kibabe .
Kuanzia za tetemeko la ardhi mpaka za kukataa mkojo wa shetani.
Hizi show zote zinataka ubabe fulani hivi kushinda mechi 😂😂
Atakuwa anahitaji huduma jaribu kumpa attention 😁Na x wangu wa enzi hizo leo kainita spattacus nimecheka sna🤣
Leo pampula hauchekeshi🤣Bwana ndie anakupiga miti? Acha upapai jibu kama binadamu mwenye akili kmmmko
Hmm tell us more😎Wewe kubali tu huna stamina kwenye show za kibabe .
Kuanzia za tetemeko la ardhi mpaka za kukataa mkojo wa shetani.
Hizi show zote zinataka ubabe fulani hivi kushinda mechi 😂😂
Unachekesha mkuu.Bwana ndie anakupiga miti? Acha upapai jibu kama binadamu mwenye akili kmmmko
Bank sikuhizi inalokba watu? Hahha mpelekee ulichonacho end of story😅😅 huduma mimi ni Bank? Nili nacho ni dubwasha tu, mama usikate nifanye miujiza angali wakati wangu bado😆
Ushatia team, vipi weekend ulikuwa unapumulia kiwanja gani? Mdogo’etu Monetary doctor alikuwa anakutafuta!😁😁 kivip pampula mwenzangu😁
Hahahaaa hatari sana mkuu lakini mnaweza kufanya mambo mengine kabla ya kufikia hatua ya KOTA MOKO.Tako moja lilikuja na stress ya kuombwa pesa kizembe zembe tu😅
Little boy! tulia utaacha tu!Na haujafika hata 45 ila unadai nikukua nitaacha kummmko
Bamnyong'ode naona keshaamkaUshatia team, vipi weekend ulikuwa unapumulia kiwanja gani? Mdogo’etu Monetary doctor alikuwa anakutafuta!