Upo kundi gani kati ya haya

Upo kundi gani kati ya haya

Heri wenye mioyo safi maana hao watauona ufalme wa Baba na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Mtoa mada tegemea majibu haya
yoteee
1 na 4
hamna
nashika nafasi
aiseeee
looohhh
napita kusoma komenti tuu

N.k n.k......Unajua kwann ??? watu PM hazipumui!! Sio wanawake sio wanaume ,humu ni Mtu na watu wake au watu na mtu wao!!


Mada yako umeilenga kabisaa penyewe , ila iyo ndo hali halisi.

Watu na watu wao wanapita kusoma polepole..sasa ole wako ukosee!!

Binafsi nipo namba 4.
 
Back
Top Bottom