Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,635
tutayapokea,ila naona maccm yanajaribu kuweka vigingi vya marufuku ya mita 200 na magari ya washa washa...ila tutashinda
Kazi ipo tz ccm hawawezi kukubali kushindwa kirahisi wanaandaa kwa bidii bao la mkono!! Lazime tupige kura ili mabadiliko yaje
Inaweza isiwe mfano mzuri kwa sababu uelewa na social status ya Wacanada ni tofauti na Watz, huwezi kumpatia Mcanada rushwa ya T-shirt au Scarf, huko Bongo mtu akipewa T-shirt au Scarf ni zawadi tosha ingawa alipaswa kulipwa maana anatumika kama Bango.
umefuatialia vizuri?. ni uchaguzi wa pili tangu walivyopata uhuru kutoka France 1958. imagine uchaguzi wa pili chama tawala kushinda kwa 57%. hapa Tanzania ni uchaguzi wa 5, predict what will hapen!!
Whats app iko hadi vijijini ? Huko vijiji mtu akipata T-shirt ya kampeni - Chagua fulani inavaliwa kwa muda wa miaka mitano yote mpaka uchaguzi mwingine unakuja, mbona mpaka sasa kuna maeneo ukienda unakuta watu wamevaa T-shirt chagua Kikwete lakini zilivyopauka !!!Ilikuwa zamani hiyo kabla ya kupata wasap mkuu