Kuwa wengi does not signify succession plan. Ni kuwa kila mtu aliruhusiwa kuweka Jina. hata yule mkulima wa darasa la saba aliweka jina. Sasa na huyo mkulima alikuwa anaadaliwa kuwa rais?Unalinganisha strategy au kipi hapo? na ukitaka kujiona vizuri unakumbuka CCM ilikuwa na wagombea wangapi? linganisha na CHADEMA uone maajabu.