Upinzani Tanzania utashinda tu na kuiondoa CCM 'Madarakani' kama ikianza na haya Muhimu na si blah blah zao

Lisu alienda Zanzibar akafoka eti wao chadema hawana maslahi na Zanzibar, Seif nae hivyo hivyo hana maslahi na Bara.

Mpaka hapo unajua hawa jamaa hawajui wanataka nini na kwa wakati gani
Ukiambiwa wewe ni msukule utasema umeonewa? Maalim Sefu hagombei urais wa Jamuhuri bara inamuhusu nini? Na Lissu hagombei Zanzibar ambako wapiga kura hawazidi laki nne, kwa nini ajisumbue huko?
 
1. Wajiimarishe kuanzia ngazi za chini kabisa za Wananchi ambapo CCM ndiyo huwa inawashindia
2. Wapambane kuwa Taasisi kweli kweli na siyo Vyama ambavyo vinakuwa 'Active' tu wakati wa Chaguzi
3. Waache Unafiki ( Undumilakuwili ) wao unaowamaliza 24/7 japo Ukweli huu huwa hawaukubali
4. Wasitumie CCM kama Mtaji wao Kujiimarisha Kisiasa kwani CCM iko mbali nao sana tu
5. Kipaumbele chao kiwe kuwa na Wabunge wengi na siyo Urais kwani Urais unahitaji Mikakati mipana
6. Agenda zao nyingi ziwe za Kuulinda Umoja wetu na si Kutugawa jambo ambalo hata Muasisi Wetu alilikemea
7. Wapunguze Uzushi na Kushambulia Dola ( Serikali ) ili kupata Huruma ya wale wanaowaamini

Leo GENTAMYCINE nawaambieni 'Wapinzani' msipoyafanya Kazi haya kila Siku 'mtalalamika' mnaibiwa 'Kura' au 'Mnanyanyasika' na Chama Tawala.
Umebaki wewe tu unayeamini kuwa CCM huwa inashinda kihalali! Tangu tuanze uchaguzi wa vyama vingi CCM ilishinda kihalali mwaka 2000 na mwaka 2005 tu, kwa upande bara, lakini kama ndo kule visiwani wanajua wanachomfanyia Maalim Seif kila chaguzi!
Kwa hiyo hayo yote uloyaandika ni upupu mtupu ! Wapinzani ni watu wa mikakati hasa ya ushindi, tena ushindi mnono isipokuwa wanahujumiwa na katiba yetu ambayo kwa kiasi kikubwa ni katiba ya chama kimoja na hivyo inakibeba sana CCM, Na hii ndio siri kubwa ya sababu ya CCM kufanya kila jitihada kuzuia mabadiliko ya katiba, wanajua fika utakua ndi mwisho wao!
 
Utakuta hata Lisu ana fikra za kipumbavu kama hizi!

Huna maslahi na upande mmoja wa nchi alafu unategemea upewe urais? Na nani? Amsterdam?
Soma katiba ya Zanzibar. Zanzibar ni nchi kamili na ina mipaka yake kamili sasa ninyi watanganyika mmewakalia kimabavu na jeshi lenu!
 
Naon huelewi? Unashindaje Urais sasa kama ubunge wenyewe tu wanashinda mijini tu! Ndio maana tunasema Upinzani ujijenge kuanzia chini huko kwenye mashina , ambako ndiko waliko CCM! Yaan wawe na uhakika wa kura za vijijini na mijini sio kama ilivyo sasa ! Mnadanganyana bure humu! na kila siku kulalamika mnaibiwa kura , ilhali hamtaki kuambiwa ukweli!.
Mkuu kura 40% za 2015 unadhani zilitoka mjini? Mind U baada ya figisu nyingi magu hakufika hta 60% (Assume hakuna wizi)
Mfano Katavi inaweza kuwa na wapiga kura laki 4 from majimbo 5 ila hizo ni kura za jimbo 1 tu Dar. Ko hakuna uhusiano wa kura za urais na uwingi wa wabunge sijui umenielewa.

Lakini kuhusu vijijini sio kma CCM wana majority otherwise wasingeshinda kwa 58% (According to NEC) maana tumeaminishwa wapiga kura wengi ni vijijini.

Anyway hya yote yalikua solved na katiba ya warioba ila CCM mmeikataa. So endeleeni kujifariji kuwa upinzani hautakiwi ilihali tume huru mnaogopa.

Note: Thsesekedi/Fayulu walishinda kwa kutegemea kura za mijini. Hata Tsvangirai huwa anazidiwa kura vijijini ila kura za mijini kma Harare na Bulawayo ndio zilimpa ushindi wa Urais. Same to Odinga kura za Kisumu,Mombasa na Nairobi huwa zinampa majority ya ushindi kabla ya figisu. Ssa sijui ww unavodai kura za mjini hazitoshi nikueleweje. Au pengine una uelewa mdogo wa siasa za kanda yetu
 
Nadhani uwingi wa watu kwenye mikutano ya kampeni utakuwa sawia na siku ya kupiga kura ngoja tuone
 
1. Wajiimarishe kuanzia ngazi za chini kabisa za Wananchi ambapo CCM ndiyo huwa inawashindia
2. Wapambane kuwa Taasisi kweli kweli na siyo Vyama ambavyo vinakuwa 'Active' tu wakati wa Chaguzi
3. Waache Unafiki ( Undumilakuwili ) wao unaowamaliza 24/7 japo Ukweli huu huwa hawaukubali
4. Wasitumie CCM kama Mtaji wao Kujiimarisha Kisiasa kwani CCM iko mbali nao sana tu
5. Kipaumbele chao kiwe kuwa na Wabunge wengi na siyo Urais kwani Urais unahitaji Mikakati mipana
6. Agenda zao nyingi ziwe za Kuulinda Umoja wetu na si Kutugawa jambo ambalo hata Muasisi Wetu alilikemea
7. Wapunguze Uzushi na Kushambulia Dola ( Serikali ) ili kupata Huruma ya wale wanaowaamini

Leo GENTAMYCINE nawaambieni 'Wapinzani' msipoyafanya Kazi haya kila Siku 'mtalalamika' mnaibiwa 'Kura' au 'Mnanyanyasika' na Chama Tawala.

Bila kupinga maelezo yako mazuri yaliyochanganyikana na ukweli na matamanio yako. Kwa taarifa yako ccm itaondoka tu madarakani kwakuwa ccm sio chama cha kizazi hiki. Ni nature ya dunia kitu kikaa muda mrefu huwa kinachokwa ikiwemo ccm. Na sio lazima chama kitakachootoa ccm kiwe na sifa ulizozotaja, bali mahitaji ya nyakati yatapelekea hilo.

Siku za nyuma ni kweli ccm ilikuwa inashinda huko vijijini, lakini kutokana na mabadiliko ya kizazi na technologia, hata huko vijijini ccm haishindi tena kihalali kama ilivyokuwa zamani. Ukienda kwenye kijiji chochote ukakuta kuna mawasiliano ya simu, hapo ccm haina uwezo wa kushinda tena kwa zaidi ya 55% kihalali. Mfano mrahisi wa mahitaji ya nyakati ni sasa, ccm imefanya mazuri kadhaa na kuufanyia upinzani uharamia wote, huku ccm ikiamini kuwa imemalizana na upinzani, wanachokiona hivi sasa ni tofauti. Uwezo wa ccm kushinda kwenye uchaguzi wowote kwa kura halali ni 50/50, na siku ukondoo a.k.a ukiondoka ndio mwisho wa ccm.

Hitimisho la hii post yangu, ccm itaendelea kukaa madarakani iwapo wapinzani wataendeleza ukondoo wa kuporwa kura na kukaa kimya. Lakini siku wapinzani wataingia mtaani kutaka matokeo halali, huo ndio utakuwa mwisho wa ccm.
 
1. Wajiimarishe kuanzia ngazi za chini kabisa za Wananchi ambapo CCM ndiyo huwa inawashindia
2. Wapambane kuwa Taasisi kweli kweli na siyo Vyama ambavyo vinakuwa 'Active' tu wakati wa Chaguzi
3. Waache Unafiki ( Undumilakuwili ) wao unaowamaliza 24/7 japo Ukweli huu huwa hawaukubali
4. Wasitumie CCM kama Mtaji wao Kujiimarisha Kisiasa kwani CCM iko mbali nao sana tu
5. Kipaumbele chao kiwe kuwa na Wabunge wengi na siyo Urais kwani Urais unahitaji Mikakati mipana
6. Agenda zao nyingi ziwe za Kuulinda Umoja wetu na si Kutugawa jambo ambalo hata Muasisi Wetu alilikemea
7. Wapunguze Uzushi na Kushambulia Dola ( Serikali ) ili kupata Huruma ya wale wanaowaamini

Leo GENTAMYCINE nawaambieni 'Wapinzani' msipoyafanya Kazi haya kila Siku 'mtalalamika' mnaibiwa 'Kura' au 'Mnanyanyasika' na Chama Tawala.
Mbona umeandika blah blah sasa
 
1. Wajiimarishe kuanzia ngazi za chini kabisa za Wananchi ambapo CCM ndiyo huwa inawashindia
2. Wapambane kuwa Taasisi kweli kweli na siyo Vyama ambavyo vinakuwa 'Active' tu wakati wa Chaguzi
3. Waache Unafiki ( Undumilakuwili ) wao unaowamaliza 24/7 japo Ukweli huu huwa hawaukubali
4. Wasitumie CCM kama Mtaji wao Kujiimarisha Kisiasa kwani CCM iko mbali nao sana tu
5. Kipaumbele chao kiwe kuwa na Wabunge wengi na siyo Urais kwani Urais unahitaji Mikakati mipana
6. Agenda zao nyingi ziwe za Kuulinda Umoja wetu na si Kutugawa jambo ambalo hata Muasisi Wetu alilikemea
7. Wapunguze Uzushi na Kushambulia Dola ( Serikali ) ili kupata Huruma ya wale wanaowaamini

Leo GENTAMYCINE nawaambieni 'Wapinzani' msipoyafanya Kazi haya kila Siku 'mtalalamika' mnaibiwa 'Kura' au 'Mnanyanyasika' na Chama Tawala.
Ccm haijawahi kushinda uchaguzi ngazi ya urais toka 2010
 
Umeongea vingi Ila umesahau kitu kimoja Muhimu! "TUME HURU YA UCHAGUZI"siku hiyo ikiwepo na CCM ikashinda tutaamini inakubalika bado.....
 
Back
Top Bottom