Kwa visingizio hamjambo. Hata mngekuwa na mawakala elfu kichapo kilikuwa palepale. Kuishinda CCM inabidi ipasuke kwanza,kama mlivyobahatisha 2015 badala ya kufunga goli mlikazia kuzungusha mikono na viuno tu. Kwa style yenu ya kujenga tumbo la mwenyekiti wenu kuwaongoza watanzania sio leo wala kesho. Magufuli akiingia sahauni siasa mpaka uchaguzi 2025 hapo mtakuwa mmelegea kama mlenda. Anyways, mmevuna mlichopanda.Yaani hayo masanduku ya kura zilizopigwa tayari + kutokuruhusiwa mawakala wa CHADEMA vituoni, ulitegemea nini? CHADEMA wakipata hata 1 nitashangaa.
Ccm.....naomba mungu awachukue wote.Kwa visingizio hamjambo. Hata mngekuwa na mawakala elfu kichapo kilikuwa palepale. Kuishinda CCM inabidi ipasuke kwanza,kama mlivyobahatisha 2015 badala ya kufunga goli mlikazia kuzungusha mikono na viuno tu. Kwa style yenu ya kujenga tumbo la mwenyekiti wenu kuwaongoza watanzania sio leo wala kesho. Magufuli akiingia sahauni siasa mpaka uchaguzi 2025 hapo mtakuwa mmelegea kama mlenda. Anyways, mmevuna mlichopanda.
Mambo yanarudi kule kule. Uchaguzi umekwisha wote mnafungiwa kufanya shughuli zozote za kisiasa au kijamii kasoro ccm.Lissu fungua charity usisubiri mpaka uchaguzi ufike ndio utembeze bakuli,,,,,
This is the way to get support unawavuta wanachama unafanya chama kinenepe, kinakua kikubwa both in numbers ya wanachama pamoja na income.... after all Sio lazima uwe serikalini ndio uhudumie watanzania
Fact number oneUpinzani hauhitaji charity wala kujikita vijijini bali tume huru ya uchaguzi na bila muiingiliano na vyombo vya dola. Bila hivyo upinzani utasubiri sana kushika madaraka.
Kwahiyo yaliotendeka jana umeona yapo sawa? Na ndio uchaguzi wa vyama vingi unavyoendeshwa?Tatizo la upinzani ni hauna watu/ viongozi walio thabiti na walio serious. Wanawapigiwa kura leo na wanashinda, kesho na keshokutwa wananunuliwa upande wa pili kwa bei rahisi kabisa kisha wanauza majimbo waliochaguliwa na wananchi wao.
Hiyo ndio chanzo namba moja la anguko la upinzani, viongozi wake wanakatisha tamaa na kuvunja moyo. Asilimia kubwa ya vijana hawajapiga kura kwa sababu hiyo.
Hello wanajamvi,
Tuko hapa tena tukiongelea uchaguzi.
Kama ambavyo tutakua tunajadili uchaguzi 2025.
Nothing is going to change, CCM itaendelea kuongoza tena na tena
I just think we need us makamanda to have a big debate on how to fight this Enemy... (which is a focus of this thread)
Kwangu mimi most ni upinzani kupenetrate rural areas, Miji mikubwa kama Arusha, Dar, Mwanza tayari kuna MUAMKO ndio maana Hata uchaguzi wanajitokeza watu kwa wingi... hata kampeni zake hazihitaji nguvu sana. I think more effort ipelekwe vijijini, sikumbuki niliona wapi kwamba 80% ya watanzania wanaishi vijijini.. so it make sense UPINZANI KUWEKEZA NGUVU ZAKE HUKO .... (How? Makamanda tusaidiane hapa)
Mimi jibu langu hasa ni kuweka mkakati in the next five years CHADEMA ikuze vyanzo vyake vya mapato (makamanda hapa tusaidiane HOW). CHADEMA pia ifungue CHARITY yake, kwa mfano tunaona MKAPA, JAKAYA KIKWETE FOUNDATION, ila sijaona kiongozi yeyote wa upinzani mwenye charity yake, LISSU una exposure ni mtu unajulikana kimataifa ukifungua CHARITY utakua suppprted ndani na nje ya nchi, fungua lengo ni kuimprove rural areas residents na Watanzania wote kwa mapana, identify kila kijiji kinahitaji nini, then unatoa SOLUTIONS.
Kama ni maji, vyoo vya shule, ama kujenga hospitali shule trust me within FIVE YEARS, UTAKUA UMEKUWA KARIBU NA WANANCHI NA PIA UTAKUA NA PROJECTS zitakazokusaidia kuomba kura, sio sasa hivi Magufuli anasema nimejenga hiki kile, halafu wewe unakua ni mtu wa kupromise tu nitafanya hiki kile. Ukiwa na projects ulizozipatia solutions , wewe pia utakua na projects za kuonyesha kwenye uchaguzi ujao.
Makamanda toeni mawazo yenu, karibuni
Wanasema sio kazi za mbunge hizo.Mkuu ukishakua karibu na watu ni rahisi kuwa mobilise watu wadai tume huru, you cant just sit far na kusema tunahitaji tume huru .. lazima uwa engage kwanza... Kama upinzani hauhitaji charity unahitaji nini mkuu?? Funguka
kama serikali ya Magufuri watakubari. hawakawii kusema charity inafadhiliwa Na mabeberu.Hello wanajamvi,
Tuko hapa tena tukiongelea uchaguzi.
Kama ambavyo tutakua tunajadili uchaguzi 2025.
Nothing is going to change, CCM itaendelea kuongoza tena na tena
I just think we need us makamanda to have a big debate on how to fight this Enemy... (which is a focus of this thread)
Kwangu mimi most ni upinzani kupenetrate rural areas, Miji mikubwa kama Arusha, Dar, Mwanza tayari kuna MUAMKO ndio maana Hata uchaguzi wanajitokeza watu kwa wingi... hata kampeni zake hazihitaji nguvu sana. I think more effort ipelekwe vijijini, sikumbuki niliona wapi kwamba 80% ya watanzania wanaishi vijijini.. so it make sense UPINZANI KUWEKEZA NGUVU ZAKE HUKO .... (How? Makamanda tusaidiane hapa)
Mimi jibu langu hasa ni kuweka mkakati in the next five years CHADEMA ikuze vyanzo vyake vya mapato (makamanda hapa tusaidiane HOW). CHADEMA pia ifungue CHARITY yake, kwa mfano tunaona MKAPA, JAKAYA KIKWETE FOUNDATION, ila sijaona kiongozi yeyote wa upinzani mwenye charity yake, LISSU una exposure ni mtu unajulikana kimataifa ukifungua CHARITY utakua suppprted ndani na nje ya nchi, fungua lengo ni kuimprove rural areas residents na Watanzania wote kwa mapana, identify kila kijiji kinahitaji nini, then unatoa SOLUTIONS.
Kama ni maji, vyoo vya shule, ama kujenga hospitali shule trust me within FIVE YEARS, UTAKUA UMEKUWA KARIBU NA WANANCHI NA PIA UTAKUA NA PROJECTS zitakazokusaidia kuomba kura, sio sasa hivi Magufuli anasema nimejenga hiki kile, halafu wewe unakua ni mtu wa kupromise tu nitafanya hiki kile. Ukiwa na projects ulizozipatia solutions , wewe pia utakua na projects za kuonyesha kwenye uchaguzi ujao.
Makamanda toeni mawazo yenu, karibuni
Ukitaka kumpiga nyoka piga kichwani, pamoja na ulioleza yote, tuanze na moja tu. Tume ya uchaguzi iundwe upya ili pamoja na watu wengine iwe na wawakilishi wa vyama na wakurugenzi waondolewe kwenye kusimamia uchaguzi. Huo ndio utakuwa mwisho wa CCMHello wanajamvi,
Tuko hapa tena tukiongelea uchaguzi.
Kama ambavyo tutakua tunajadili uchaguzi 2025.
Nothing is going to change, CCM itaendelea kuongoza tena na tena
I just think we need us makamanda to have a big debate on how to fight this Enemy... (which is a focus of this thread)
Kwangu mimi most ni upinzani kupenetrate rural areas, Miji mikubwa kama Arusha, Dar, Mwanza tayari kuna MUAMKO ndio maana Hata uchaguzi wanajitokeza watu kwa wingi... hata kampeni zake hazihitaji nguvu sana. I think more effort ipelekwe vijijini, sikumbuki niliona wapi kwamba 80% ya watanzania wanaishi vijijini.. so it make sense UPINZANI KUWEKEZA NGUVU ZAKE HUKO .... (How? Makamanda tusaidiane hapa)
Mimi jibu langu hasa ni kuweka mkakati in the next five years CHADEMA ikuze vyanzo vyake vya mapato (makamanda hapa tusaidiane HOW). CHADEMA pia ifungue CHARITY yake, kwa mfano tunaona MKAPA, JAKAYA KIKWETE FOUNDATION, ila sijaona kiongozi yeyote wa upinzani mwenye charity yake, LISSU una exposure ni mtu unajulikana kimataifa ukifungua CHARITY utakua suppprted ndani na nje ya nchi, fungua lengo ni kuimprove rural areas residents na Watanzania wote kwa mapana, identify kila kijiji kinahitaji nini, then unatoa SOLUTIONS.
Kama ni maji, vyoo vya shule, ama kujenga hospitali shule trust me within FIVE YEARS, UTAKUA UMEKUWA KARIBU NA WANANCHI NA PIA UTAKUA NA PROJECTS zitakazokusaidia kuomba kura, sio sasa hivi Magufuli anasema nimejenga hiki kile, halafu wewe unakua ni mtu wa kupromise tu nitafanya hiki kile. Ukiwa na projects ulizozipatia solutions , wewe pia utakua na projects za kuonyesha kwenye uchaguzi ujao.
Makamanda toeni mawazo yenu, karibuni