UPINZANI nchini unapumulia mashine!

UPINZANI nchini unapumulia mashine!

ACHEBE

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2008
Posts
348
Reaction score
76
Kwa muda sasa hata vyombo vya habari vimepuuza kabisa kureport taarifa za upinzani nchini ukiacha gazeti moja la Tanzania Daima ambalo ni rahisi kujua kwanini wamebaki peke yao!

Moja ya sababu ni kukithiri kwa migogoro ndani ya vyama vya siasa ISIYOTAFUTIWA MAJAWABU KWA MUDA SAHIHI! Eg. Chadema na Zitto, CUF Seif na Hamad Rashid. Ongeza sababu zingine hapa!
 
Kwa muda sasa hata vyombo vya habari vimepuuza kabisa kureport taarifa za upinzani nchini ukiacha gazeti moja la Tanzania Daima ambalo ni rahisi kujua kwanini wamebaki peke yao!

Moja ya sababu ni kukithiri kwa migogoro ndani ya vyama vya siasa ISIYOTAFUTIWA MAJAWABU KWA MUDA SAHIHI! Eg. Chadema na Zitto, CUF Seif na Hamad Rashid. Ongeza sababu zingine hapa!


Hili linaisaidiaje ccm kuboresha maisha ya kila mtanzania?

Nikweli kwamba ccm hawana mnyukano na mkizano wa mawazo na migogoro?

Je mansoor alifukuzwa au alijitowa

Vipi kuna uhusianogani kati ya Lowasa na membe?

Upinzani kwa taarifa yako umeimarika na kujiimarisha zaidi wakati huu, watu wanaukubali na mikutano yao inajaza

watanzania bila kanga, tisheti, kofia, wali au nyama
-ccm inavutia watu kwa vitu hivyo, tafakali kwa undani utafaham.
 
Kwa muda sasa hata vyombo vya habari vimepuuza kabisa kureport taarifa za upinzani nchini ukiacha gazeti moja la Tanzania Daima ambalo ni rahisi kujua kwanini wamebaki peke yao!

Moja ya sababu ni kukithiri kwa migogoro ndani ya vyama vya siasa ISIYOTAFUTIWA MAJAWABU KWA MUDA SAHIHI! Eg. Chadema na Zitto, CUF Seif na Hamad Rashid. Ongeza sababu zingine hapa!

Kama hili nalo unaona ni jambo la kujivunia kama mTanzania...una matatizo makubwa sana ndugu. Pole!
 
Uandishi wako umenitia mashaka unaandika pumba!
Au ulikuwa na hamu tu!
 
Wapinzani ni kama moto wa bua vile. Unawaka kwa kasi ila makali yake ni ya muda mfupi tu
 
Nina wasiwasi kama mwandishi ni mawazo yako umebeba ya mtu mwingine. Kama upinzani ungekuwa umekufa sidhani kinana na nape wangezurura non stop miezi zaidi ya sita. Hamuwapi hata nafasi ya kukaa na familia zao. Mtawafanya wake zao wachepuke!
 
Hili linaisaidiaje ccm kuboresha maisha ya kila mtanzania?

Nikweli kwamba ccm hawana mnyukano na mkizano wa mawazo na migogoro?

Je mansoor alifukuzwa au alijitowa

Vipi kuna uhusianogani kati ya Lowasa na membe?

Upinzani kwa taarifa yako umeimarika na kujiimarisha zaidi wakati huu, watu wanaukubali na mikutano yao inajaza

watanzania bila kanga, tisheti, kofia, wali au nyama
-ccm inavutia watu kwa vitu hivyo, tafakali kwa undani utafaham.
"Hakika wanaimarika" ... Kwa kushinda kata tatu kati ya 27 pamoja na kurusha chopa tatu, aaah wanakubalika sana. "Hakika wanakubalika" kwa kupata asilimia 11% uchaguzi mdogo wa Kalenga na asilimia 10% uchaguzi mdogo wa chalinze, aaaaahkh!! Kweli upinzani unakua sanaaaaaaa
 
"Hakika wanaimarika" ... Kwa kushinda kata tatu kati ya 27 pamoja na kurusha chopa tatu, aaah wanakubalika sana. "Hakika wanakubalika" kwa kupata asilimia 11% uchaguzi mdogo wa Kalenga na asilimia 10% uchaguzi mdogo wa chalinze, aaaaahkh!! Kweli upinzani unakua sanaaaaaaa


Kunawakati mpubavu hujitekenya na kucheka kisha hukimbia/hutembea akiwa uchi na kujinasibu amevaa suti, wewe nimmojawapo.

-Propaganda na ukweli vinatofautiana sana na majungu na mipasho ni hazina ya mwerevu kwa mjinga na --------.

a) nimekuuliza haya yanaisaidiaje ccm kuwakwamua watanzania kutoka dimbwi la umaskini na balaa ujinga?

b) unaweza kunasibisha vipi kashifa za udin na ukabila kuelekea chaguzi mbalimbali-zingatia siasa za ccm

c) kunauwiano gani wa usawa katika

i) Tume huru ya uchaguzi isiyoelemea upande wowote, mara ngapi tumewasikia wakikandamiza upinzani?

ii) vyombo vya dola katika kuhakikisha watanzania wanafanya uchaguzi bila vitisho na lazima za watawala?

iii) vyombo vya maamuzi hususani mahakama, je vipi mara kadhaa kumekuwa na kauli tata kuhusu utendaji wa ovyo kwa chombo hiki?

iv) Ni kweli kwamba daftari la wapiga kura limeboreshwa kwa uwazi na mujibu wa sheria? kama bado kwanini?

Hayo yote ukiyachnaganya nakuyaweka katika kapu moja utapata ushindi batili wa ccm, wala sio wa haki na kweli, nakwa watu wajinga na wapumbavu ambao uelewa wao ni kama vichaa hushupalia na kuushangilia ilhali haki ikiwa imepewa kisogo.
 
Kunawakati mpubavu hujitekenya na kucheka kisha hukimbia/hutembea akiwa uchi na kujinasibu amevaa suti, wewe nimmojawapo.

-Propaganda na ukweli vinatofautiana sana na majungu na mipasho ni hazina ya mwerevu kwa mjinga na --------.

a) nimekuuliza haya yanaisaidiaje ccm kuwakwamua watanzania kutoka dimbwi la umaskini na balaa ujinga?

b) unaweza kunasibisha vipi kashifa za udin na ukabila kuelekea chaguzi mbalimbali-zingatia siasa za ccm

c) kunauwiano gani wa usawa katika

i) Tume huru ya uchaguzi isiyoelemea upande wowote, mara ngapi tumewasikia wakikandamiza upinzani?

ii) vyombo vya dola katika kuhakikisha watanzania wanafanya uchaguzi bila vitisho na lazima za watawala?

iii) vyombo vya maamuzi hususani mahakama, je vipi mara kadhaa kumekuwa na kauli tata kuhusu utendaji wa ovyo kwa chombo hiki?

iv) Ni kweli kwamba daftari la wapiga kura limeboreshwa kwa uwazi na mujibu wa sheria? kama bado kwanini?

Hayo yote ukiyachnaganya nakuyaweka katika kapu moja utapata ushindi batili wa ccm, wala sio wa haki na kweli, nakwa watu wajinga na wapumbavu ambao uelewa wao ni kama vichaa hushupalia na kuushangilia ilhali haki ikiwa imepewa kisogo.

Unalaana wewe ya baba na mama yako maana umewatukana kuwa wapumbavu kisa tu wametoa kura zai kwa CCM kwa miaka yote! Mabavicha bwana full viroba tu akili zao zote!
 
Unalaana wewe ya baba na mama yako maana umewatukana kuwa wapumbavu kisa tu wametoa kura zai kwa CCM kwa miaka yote! Mabavicha bwana full viroba tu akili zao zote!


Hili bango lako linawasaidiaje ccm kukwamua maisha magumu na dhiki kwa watanzania
 
Kunawakati mpubavu hujitekenya na kucheka kisha hukimbia/hutembea akiwa uchi na kujinasibu amevaa suti, wewe nimmojawapo.

-Propaganda na ukweli vinatofautiana sana na majungu na mipasho ni hazina ya mwerevu kwa mjinga na --------.

a) nimekuuliza haya yanaisaidiaje ccm kuwakwamua watanzania kutoka dimbwi la umaskini na balaa ujinga?

b) unaweza kunasibisha vipi kashifa za udin na ukabila kuelekea chaguzi mbalimbali-zingatia siasa za ccm

c) kunauwiano gani wa usawa katika

i) Tume huru ya uchaguzi isiyoelemea upande wowote, mara ngapi tumewasikia wakikandamiza upinzani?

ii) vyombo vya dola katika kuhakikisha watanzania wanafanya uchaguzi bila vitisho na lazima za watawala?

iii) vyombo vya maamuzi hususani mahakama, je vipi mara kadhaa kumekuwa na kauli tata kuhusu utendaji wa ovyo kwa chombo hiki?

iv) Ni kweli kwamba daftari la wapiga kura limeboreshwa kwa uwazi na mujibu wa sheria? kama bado kwanini?

Hayo yote ukiyachnaganya nakuyaweka katika kapu moja utapata ushindi batili wa ccm, wala sio wa haki na kweli, nakwa watu wajinga na wapumbavu ambao uelewa wao ni kama vichaa hushupalia na kuushangilia ilhali haki ikiwa imepewa kisogo.

kutokana na vichwa vyao hili swali ni gumu utaishia kutukanwa tu
 
hili bango lako lipeleke pale lumumba wenzako wakakufariji hapa utaambulia aibu tupu
 
Kwa muda sasa hata vyombo vya habari vimepuuza kabisa kureport taarifa za upinzani nchini ukiacha gazeti moja la Tanzania Daima ambalo ni rahisi kujua kwanini wamebaki peke yao!

Moja ya sababu ni kukithiri kwa migogoro ndani ya vyama vya siasa ISIYOTAFUTIWA MAJAWABU KWA MUDA SAHIHI! Eg. Chadema na Zitto, CUF Seif na Hamad Rashid. Ongeza sababu zingine hapa!

Bora kuwa maskini wa mali kulko kuwa maskini wa akili,huwezi kuwa na akili timamu na mtu mwenye kujitambua ukaandika ujinga uliopitiliza kipimo kama huu,hata mtoto wangu wa darasa la sita kamwe hawezi kuandika upuuz kama huu.
 
kutokana na vichwa vyao hili swali ni gumu utaishia kutukanwa tu

Ni kweli mkuu maana ninayemuuliza ambaye ndo mleta hoja badala ya kujibu analeta viloja.

Ngoja niachane naye, maana anapika majungu lakini hawezi kujenga hoja wa kuitetea mada yake.
 
wakati wenzenu wako huku ngong road.jpg nyie mnawaza siasa tu,umasikini wa akili ni umaskini mkubwa kuliko wote
 
Kwa muda sasa hata vyombo vya habari vimepuuza kabisa kureport taarifa za upinzani nchini ukiacha gazeti moja la Tanzania Daima ambalo ni rahisi kujua kwanini wamebaki peke yao!

Moja ya sababu ni kukithiri kwa migogoro ndani ya vyama vya siasa ISIYOTAFUTIWA MAJAWABU KWA MUDA SAHIHI! Eg. Chadema na Zitto, CUF Seif na Hamad Rashid. Ongeza sababu zingine hapa!
i
Hii thread yako leo itawafanaya akina Lizaboni, Msalani etc kukosa hamu ya kufanya mapenzi na wake zao. Maana kwa utafiti wako huo KAZI zao sasa ziko REHANI.
 
Kwa muda sasa hata vyombo vya habari vimepuuza kabisa kureport taarifa za upinzani nchini ukiacha gazeti moja la Tanzania Daima ambalo ni rahisi kujua kwanini wamebaki peke yao!

Moja ya sababu ni kukithiri kwa migogoro ndani ya vyama vya siasa ISIYOTAFUTIWA MAJAWABU KWA MUDA SAHIHI! Eg. Chadema na Zitto, CUF Seif na Hamad Rashid. Ongeza sababu zingine hapa!

Kama ccm mna akili msijidanganye kabisa kuwa hakuna upinzani. Kwani upinzani unatokea kwa sababu zipi? Kwani mapinduzi yanatokeaje? Sasa kwa taarifa yako ccm inaweza hata isifike 2015 kabla haijaenguliwa madarakani, kwa vipi mimi sijui lakini watu wameshachoka jamani, ni bora mfanye mnayofanya kisha mkae kimya kuliko kuanza kubwabwaja maneno. Inangojewa cheche moja tu sasa moto uwake na ccm ingo'olewe. Kama mnafikiri iliwezekana Libya, Tunisia na Misri tu basi subirini.

TUMECHOKA TUMECHOKA NA TUMECHOKA NA UFISADI WENU. SAA YA UKOMBOZI NI SASA
 
Back
Top Bottom