UPINZANI nchini unapumulia mashine!

UPINZANI nchini unapumulia mashine!

Kwa muda sasa hata vyombo vya habari vimepuuza kabisa kureport taarifa za upinzani nchini ukiacha gazeti moja la Tanzania Daima ambalo ni rahisi kujua kwanini wamebaki peke yao!

Moja ya sababu ni kukithiri kwa migogoro ndani ya vyama vya siasa ISIYOTAFUTIWA MAJAWABU KWA MUDA SAHIHI! Eg. Chadema na Zitto, CUF Seif na Hamad Rashid. Ongeza sababu zingine hapa!

Bandiko lako halishabihiani na uhalisia
 
Kwa muda sasa hata vyombo vya habari vimepuuza kabisa kureport taarifa za upinzani nchini ukiacha gazeti moja la Tanzania Daima ambalo ni rahisi kujua kwanini wamebaki peke yao!

Moja ya sababu ni kukithiri kwa migogoro ndani ya vyama vya siasa ISIYOTAFUTIWA MAJAWABU KWA MUDA SAHIHI! Eg. Chadema na Zitto, CUF Seif na Hamad Rashid. Ongeza sababu zingine hapa!

Akili Ndog😵ndoa Uharo Wako
 
Kwa muda sasa hata vyombo vya habari vimepuuza kabisa kureport taarifa za upinzani nchini ukiacha gazeti moja la Tanzania Daima ambalo ni rahisi kujua kwanini wamebaki peke yao!

Moja ya sababu ni kukithiri kwa migogoro ndani ya vyama vya siasa ISIYOTAFUTIWA MAJAWABU KWA MUDA SAHIHI! Eg. Chadema na Zitto, CUF Seif na Hamad Rashid. Ongeza sababu zingine hapa!
mgogoro kati ya baba yako na mama yako kuhusu uzao wako! baba haamini kuwa umetoka kiunoni mwake!
 
yoote haya kayataka mbowe na mwinziye Dr slaa tunafika mpaka 90% uroho wao wa madaraka unaturudisha 20% hata mie nimeachana nawo chamsingi ni kubiresha maisha ya watanzania kupitia hii hii ccm
 
Back
Top Bottom