Ukisiliza Hotuba za viongozi wa Upinzani, utaona wanalalamika sana kuwa wanaishi maisha ya vitusho kutoka serekalini na vyombo vyake. La kushangaza hao hao Upinzani ndio Vinara wa kutumia Vitisho kwa Utawala na wananchi, Naona wamechukua ukurasa kutoka siasa za Republicans wa USA, Build FEAR in the public, ili uchaguliwe.
K.M:
1. LISSU: Hotuba zake zote ni kuhubiri alivyo dhulumiwa afya yake, anayo haki ya kulizungumzia, lakini sio iwe nyimbo ya kila leo. Anatumia vitisho kuhamasisha wanachama wa CDM, na wafuasi wake , wawe Jeuri na wafanye fujo. Alipokuwa Mbeya na Iringa LISSU anatuambia eti kuwa kuna macho ya watu wa Njee yana wamulikia kuanzia Raisi hadi wasimamizi wa Uchaguzi, Huo ni uongo wa hali ya Juu, na hata kama wako, mbona hawakufanya lolote Kenya, Gambia, Gabon, Uganda, Rwanda.
Mimi kama mpendwa ukweli, sio jambo la kufichika kuwa Lissu amepata mapokezi mazuri sana kwa huruma za watanzania, na ameweza kuwarudishia imani wanachama wa Chadema ambao, walishapoteza uaminifu na chama chao, na ambao hawakuridhishwa na yanayoendelea, hata sisi wana CCM tupendao siasa nzuri za umoja, maendeleo na upendano, Lissu ametusaidia kuwaAmsha viongozi wetu na kuhakikisha watu safi na wenye weledi wanarudishwa katika uongozi chamani.
2. ZITTO: Katika speech yake ya Jana, anazungumzia suala la Vyama kuungana , na ametumia MISHALE kama example ya silaha ya ACT ya kwenda Vitani dhidi ya CCM, utaona hii speech ni ile itwayo HATE SPEECH.
3. MAALIM: Huyu Mzee mwenye mila za Kifalme, yeye uongozi wa chama chake ni yeye au hakuna chama, Mgombea Uraisi ni yeye ama hakuna kugombea. Yeye hotuba zake ni hizo hizo za kutumia mabavu, chuki na kebehi.
Upinzani Unasema Uchaguzi huu washindi ni wao tuu, Kabla ya Uchaguzi kufanywa na Baada ya Kufanywa, Sasa hapo kuna Ushindani gani, Iwapo wanawatayarisha watu kuwa iwapo watashindwa , basi kura zimeibiwa, na kama wao hawakutangazwa washindi basi watu lazima waingie barabarani, wabomoe maduka ya watu na kuiba mali zao, kufanya fujo mitaa isitawalike. sasa Huo Kama sio uchochezi ni nini.
K.M:
1. LISSU: Hotuba zake zote ni kuhubiri alivyo dhulumiwa afya yake, anayo haki ya kulizungumzia, lakini sio iwe nyimbo ya kila leo. Anatumia vitisho kuhamasisha wanachama wa CDM, na wafuasi wake , wawe Jeuri na wafanye fujo. Alipokuwa Mbeya na Iringa LISSU anatuambia eti kuwa kuna macho ya watu wa Njee yana wamulikia kuanzia Raisi hadi wasimamizi wa Uchaguzi, Huo ni uongo wa hali ya Juu, na hata kama wako, mbona hawakufanya lolote Kenya, Gambia, Gabon, Uganda, Rwanda.
Mimi kama mpendwa ukweli, sio jambo la kufichika kuwa Lissu amepata mapokezi mazuri sana kwa huruma za watanzania, na ameweza kuwarudishia imani wanachama wa Chadema ambao, walishapoteza uaminifu na chama chao, na ambao hawakuridhishwa na yanayoendelea, hata sisi wana CCM tupendao siasa nzuri za umoja, maendeleo na upendano, Lissu ametusaidia kuwaAmsha viongozi wetu na kuhakikisha watu safi na wenye weledi wanarudishwa katika uongozi chamani.
2. ZITTO: Katika speech yake ya Jana, anazungumzia suala la Vyama kuungana , na ametumia MISHALE kama example ya silaha ya ACT ya kwenda Vitani dhidi ya CCM, utaona hii speech ni ile itwayo HATE SPEECH.
3. MAALIM: Huyu Mzee mwenye mila za Kifalme, yeye uongozi wa chama chake ni yeye au hakuna chama, Mgombea Uraisi ni yeye ama hakuna kugombea. Yeye hotuba zake ni hizo hizo za kutumia mabavu, chuki na kebehi.
Upinzani Unasema Uchaguzi huu washindi ni wao tuu, Kabla ya Uchaguzi kufanywa na Baada ya Kufanywa, Sasa hapo kuna Ushindani gani, Iwapo wanawatayarisha watu kuwa iwapo watashindwa , basi kura zimeibiwa, na kama wao hawakutangazwa washindi basi watu lazima waingie barabarani, wabomoe maduka ya watu na kuiba mali zao, kufanya fujo mitaa isitawalike. sasa Huo Kama sio uchochezi ni nini.