Upinzani Mkubwa Niliowahi Kushuhudia Kwa Suala La Siasa Hasa Kwa Uchaguzi Wa Rais Tanzania Ulioshirikisha Vyama Vingi, Ni Ule Wa 1995 Kati Ya Mrema Na Mkapa Na Wa Pili Ni Ule Wa 2015 Kati Ya Lowasa Na Magufuli.
Chaguzi Zingine Zote Hazikuwa Na Upinzani Wa Kutisha. Wapo Wengi Wanadai Hata Mwaka Huu Utakuwa Na Upinzani Mkubwa Lakini Binafsi Sijaona Bado Dalili Kama Ilivyokwa Miaka Hiyo. Je Ni Magufuli Na Zitto?
Je Ni Nyalandu, Msigwa Au Lissu Na Magufuli? Nini Dalili Zinazoashiria UPINZANI MKUBWA Mwaka Huu
Chaguzi Zingine Zote Hazikuwa Na Upinzani Wa Kutisha. Wapo Wengi Wanadai Hata Mwaka Huu Utakuwa Na Upinzani Mkubwa Lakini Binafsi Sijaona Bado Dalili Kama Ilivyokwa Miaka Hiyo. Je Ni Magufuli Na Zitto?
Je Ni Nyalandu, Msigwa Au Lissu Na Magufuli? Nini Dalili Zinazoashiria UPINZANI MKUBWA Mwaka Huu