Epithelium
Member
- Nov 20, 2020
- 45
- 38
Kila mtu ni shahidi wa mwenendo wa nchi hii hata wale wa anaupiga mwingi wanajua hilo,wanajifanya kuficha ukweli,wanaweka giza kwenye mwanga jambo ambalo haiwezekani, mafisaidi ndo viongozi wakubwa tena wanajifanya kondoo,kwa kifupi nchi imetekwa. Tunahitaji sana mabadiliko sasa shida inakuja kwenye watu wanaitwa sisi ni waupinzani(CHADEMA) ,hicho kikundi huu ndo ulikuwa muda wa kuingia Ikulu shida ni moja hawana misingi, wameshindwa kujua mtanzania anataka nini,kila mtu anajaribu kuwa mkubwa,uchu ni mkubwa , ni kama matapeli flani. Sote ni mashahidi kwa yanayoendelea mtu anatoka from now where analopoka lopoka tu, tunajua lengo ni zuri ,sisi tunataka solution na hzo solution ingetosha tuh hata kuzipendekeza ,siwezi kuwapigia upatu chadema waingie ikulu bora watawale ccm miaka yote sio hao jamaa,hao viongozi wao ni hatari.
Watu waelevu wanatafuta njia za kuweka mambo vzr lakini wapumbavu wao huwa wanatukana tu
Watu waelevu wanatafuta njia za kuweka mambo vzr lakini wapumbavu wao huwa wanatukana tu