Upimaji & Uhakiki wa Kiwanja Chako

Upimaji & Uhakiki wa Kiwanja Chako

kama mnafanya kama team sifaham mtakua mmefungua kampuni ipi, sbb kampuni zinazo practice professions lazima ziwe registered na boards husika, na hakuna board inayo register huduma za engineering, architecture, surveying, planning, valuation kwa pamoja. labda kama ni company name tu, au kampuni zile zenye MOU inayofanya kila kitu paka ukute kuna objective ya kusambaza vifaa na spare za meli. hua binafsi nasikitishwa sana kama unapose kama professional wakati hujatimiza vigezo. una dhalilisha taaluma za watu, una walakini katika huduma kwa jamii na zaidi unavunja sheria.
 
well, kama sio mbali/ndani sana na eneo ni fairy flatland ntakufanyia 200,000/- hapo ni gharama za Upimaji, ufuatiliaji wa TP map huko Halmashaur na logistics zinginezo..Karbu boss!!
fafanua hapo kwenye red, unamaanisha nini unaposema gharama za upimaji..., maana kuna kupima (surveying) na kuhakiki tu (picking coordinates) na kuwianisha na Mchoro wa mipango miji
 
fafanua hapo kwenye red, unamaanisha nini unaposema gharama za upimaji..., maana kuna kupima (surveying) na kuhakiki tu (picking coordinates) na kuwianisha na Mchoro wa mipango miji
Mkuu hapo namaanisha kuja site kuchukua coordinates na kwenda kuhakiki halmashaur, sorry kama nilikuchanganya..Karbu sana!
 
Asante Mkuu,
Kuna siku nitakupeleka Mkuranga,mbele ya Kimanzichana huko mkuu,kuna Acre kama 20 - 30 hivi bado nipo kwenye mazungumzo.ikiwa sana nitakutafuta miezi kadhaa ijayo,nasubiria wamalize kuvuna mazao yao ya msimu.

Nakupongeza kwa kuwajali watanzania wenzako,aisee watu wanaumia sana kwa kumiliki maeneo kinyemela na wanalia sana na watalia saana
1465570825842.jpg

Unaweza ukaipitia hiyo
 
Back
Top Bottom