Best home tutor
Member
- May 8, 2026
- 93
- 113
- Thread starter
- #21
Ndio tukubali kuendelea kuwa na Maisha duni na uchumi wa kwenye makaratasiHiyo adoption kwetu itakuwa ni mchakato ambao ni mgumu kuliko kupata katiba mpya mkuu
Ndio tukubali kuendelea kuwa na Maisha duni na uchumi wa kwenye makaratasiHiyo adoption kwetu itakuwa ni mchakato ambao ni mgumu kuliko kupata katiba mpya mkuu
Jamaa yuko smart Sema history ndio inamuharibia mzeeHuyo si ndio atakuja kutunyonya uloto uliobaki hadi tuanze kutembea kama marobot
Kwenye paper ni kweli tuko vizuri ila ukiingia kwenye uhalisia, tunafuka moshi. Wapikaji wa hizo data on paper sijui ni akina naniNdio tukubali kuendelea kuwa na Maisha duni na uchumi wa kwenye makaratasi
Mkuu unamuona smart sababu hajakamata starringJamaa yuko smart Sema history ndio inamuharibia mzee
Ndio hivyo mkuu nchi zetu za Africa bado zinahitaji uwajibikaji na uzalendo ili zikue zaidi ya hapa sio masilahi binafasi na hii ni culture inayotakiwa kupandikizwa kwa vizazi waipende nchi kuliko maisha yao binafsiKwenye paper ni kweli tuko vizuri ila ukiingia kwenye uhalisia, tunafuka moshi. Wapikaji wa hizo data on paper sijui ni akina nani
Hapa ni hadi tutawaliwe tena kwa mabavu huku tunapandikizwa hii kitu ili hata wakituachia tuweze kwenda na mfumo, ila kwa kusubiri tu wajirekebishe wenyewe mkuu hutoona hilo hadi ukamilifu wa dahaliNdio hivyo mkuu nchi zetu za Africa bado zinahitaji uwajibikaji na uzalendo ili zikue zaidi ya hapa sio masilahi binafasi na hii ni culture inayotakiwa kupandikizwa kwa vizazi waipende nchi kuliko maisha yao binafsi
Enheee hayaa, mtatuua tu tena msijarHa
Hawezi kuwa Raisi baada ya Mama tunampendekeza mh Ridhiwani kikwete aje atukomboe vijana na wanyonge .