DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Wakuu.
Kama tunavyofahamu, Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) anatoka Tanzania, si mwingine bali Tulia Ackson. Sasa, endapo Bunge hilo litaamua kujadili matukio ya Oktoba 29 yaliyotokea Tanzania, hali itakuwaje? Na msimamo wao utakuwa upi, ikizingatiwa kuwa Rais anatoka hapa kwetu na tukio lenyewe limetokea nchini mwetu? Je, ataiongozaje nafasi yake kwenye mjadala kama huo?.
Baada ya kusikiliza Azimio la Bunge la Ulaya kuhusu mauaji ya raia Tanzania, kisha akajiweka kwenye nafasi ya Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), je tunapaswa kusubiri azimio jingine au bado unalifuatilia suala hili kwa undani kabla ya kuchukua msimamo rasmi?
Kama tunavyofahamu, Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) anatoka Tanzania, si mwingine bali Tulia Ackson. Sasa, endapo Bunge hilo litaamua kujadili matukio ya Oktoba 29 yaliyotokea Tanzania, hali itakuwaje? Na msimamo wao utakuwa upi, ikizingatiwa kuwa Rais anatoka hapa kwetu na tukio lenyewe limetokea nchini mwetu? Je, ataiongozaje nafasi yake kwenye mjadala kama huo?.
Baada ya kusikiliza Azimio la Bunge la Ulaya kuhusu mauaji ya raia Tanzania, kisha akajiweka kwenye nafasi ya Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), je tunapaswa kusubiri azimio jingine au bado unalifuatilia suala hili kwa undani kabla ya kuchukua msimamo rasmi?