Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,909
- 946
SANGA AHOJI UPI MKAKATI WA SERIKALI KUTUMIA SETILITE NA KUACHANA NA MINARA YA SIMU
Kila Mbunge akisimama tunaomba Minara ya Simu Majimboni kwetu, Je, Upi Mkakati wa Serikali kuachana na Minara na kuamua kutumia Setilite ili kila eneo (Mlima na Bonde) Mawasiliano yapatikane kwa uhakika hapa nchini?