uchumi2018
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,087
- 2,993
Watanzania tufike mahali tukubali kumpongeza anayeonyesha moyo angalau wa kutuvusha,Angalia asije akijakata mwenyewe maana anatakiwa ajibu trilion 2.4 ziko wapi
tusitegemee nchi hii iongozwe na malaika asiyekuwa na doa hata kidogo.
Binafsi naona hakuna haja ya kutoa maelezo ya hiyo trioni 2.4
mimi naweza kusema nchi hii ni kubwa kumtegemea mtu mmoja adhibiti mambo yote na pasiwepo upungufu
haiwezekani,huenda hilo pengo kama lipo limesababishwa na wasimamizi wake,maana tunashuhudia
kila mara watu wanatenguliwa na wengine kuwekwa.