Upepo wa Membe mtaani usipime

Upepo wa Membe mtaani usipime

Hakuna siri tena,kwenye kile chama kuna kundi kubwa limeibuka likimtaka mh Membe kusimama 2020

Na kwa utafiti mfupi uliofanyika lakini sio rasmi unaonyesha kuwa Membe anakubalika zaidi na wanaccm wengi na wasio wanachama wa ccm

Eitha ,imeonyesha kuwa endapo Membe atasimama 2020 upinzani utakuwa na nguvu chache tofauti akisimama mzee mwenye nyumba ambapo upinzani unaweza ukawa na nguvu kuliko hata kipindi cha Lowasa na mabadiliko

Mikoa inayomuunga Membe kwa asilimia 100 ni Mtwara,Lindi,Ruvuma,Njombe,Iringa,Mbeya,Kigoma,Kagera,Mwanza jiji,Mara,Arusha,Kilimanjaro, Tanga,Pwani,Dar,Singida na mikoa yote ya Zanzibar

Mikoa inayomuunga Mzee mwenyewe wa chama ni Dodoma,Geita,wilaya za Mwanza(nje ya jiji),Simiyu, Katavi na Tabora

Mikoa ambayo wanagawana nusu kwa nusu ni Rukwa,Morogoro,Manyara na Shinyanga
Mkuu hizi pumba za bata ama kuku
 
Aje membe au nani sisiemu ni ile ile hakuna jpya
Membe kaisha tangaza Leo hadharani kuwa ataomba ridhaa ndani ya chama chake ateuliwe kuwa mgombea urais ,bila kumung'unya maneno na thread ya kutoka taarifa niliileta mapema humu Leo mods wakafanya yao .Membe kaisha srma ataomba ridhaa kumuachia rais aliyepo madaraka ni desturi nasio sheria wala kanuni za ccm hivyo atagombea ,mambo ni moto twende na membe 2020 .
 
Acha kabisa Mkuu hili likitokea la Bugirichato kupigwa chini furaha itakayokuwepo nchi nzima itakuwa haina mfano.

Watanzania wengi watalia machozi ya furaha na wengine waliothiriwa na huyo dhalimu kwa namna mbali mbali yatakuwa machozi ya huzuni.

Dah sijawahi ona mtu hampendi Jiwe kama wewe mkuu
 
Magufuli hahitaji CCM , ni CCM ndo ina muhitaji Magufuli, Magufuli hata akihamia chauma akampisha membe ccm na membe akaungana na wana cecm wote bado Magufuli atawashinda , huyu jamaa utendaji wake una mbeba sana mazuri ni mengi kuliko mabaya
 
Back
Top Bottom