Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,502
- 911,254
- Thread starter
- #61
rutashubanyumba.
Hivi huko nyuma Nyerere, Mwanyi, Mkapa, katiba ilikuwa aifanyi kazi? Mbona hatukuwa kuona nguvu ya CAG kama kipindi hiki?
ritz..........CAG alipewa meno katika marekebisho ya 14 ya katiba kama sikosei na uteuzi wa huyu aliyepo Ludovick Utouh kama mtu umeongeza uwajibikaji...... Mfano Pinda anayo madaraka makubwa ya kulithibiti baraza la mawaziri lakini juzi kaenda kwao raia hawajui kama katiba imemlinda ila yeye ni kiongozi mwoga..........raia wakadai apewe madaraka zaidi na katiba........yepi zaidi ya aliyonayo?????????????...........wakati mwingine............it is also of a question of a person behind the wheel.........
Last edited by a moderator: