Nakapanya
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 2,096
- 708
- Thread starter
- #21
Usilipize watu wasio kua na hatia,na ukijenga akili hiyi ktk maisha yako ujue utapotea sanaaaa,na hutokua na mwelekeo utajikuta unamiaka 50 bado una chovya chovya tuu na humalizi..
ni kweli kabisa ndio maana nimeamua kuwashirikisha wana jf ili nipate kubadilika coz nishaona si vema kufanya hivo.