Upendo wa mama

Joined
Jun 10, 2011
Posts
20
Reaction score
0
Mm ni ss ninasoma chuo kikuu cha dodoma mwaka wa tatu ba-education.. Kwa muda mwingi nilikuwa nikilelewa na kaka yangu ila by this moment i need to see my mum because mum ndiye mwenye kufahamu how much pain gained bcz of me..
 
Mm ni ss ninasoma chuo kikuu cha dodoma mwaka wa tatu ba-education.. Kwa muda mwingi nilikuwa nikilelewa na kaka yangu ila by this moment i need to see my mum because mum ndiye mwenye kufahamu how much pain gained bcz of me..

kwa hiyo tukusaidieje....?
 
mama yako ametoa sacrifice gani kuonesha huo upendo?
 
Mwandiko gani wa mwanachuo huo?

Hujaeleweka.
 
Mpe ushauri kwanza Bhana, maswali baadaye..
Shkamoo!

marhaba Tanmo....hujambo....?
kumsaidia basi aje nimnyonyeshe....naona amemiss kunyonya......

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…