Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,891
- 155,883
Jamani mama ni mtamu mno
Sio kwa kila mtu, ni kwa waliobahatika tu!Ni kweli mama ni kila itu kwa kila mtu duniani............
umetumia maneno tatanishi kidogo...
Nilipokuwa mdogo nilikuwa najua mama yangu anaweza kila kitu,
sikuwahi kuona napungukiwa, ma wala sikujua kuwa zile raha na maisha mazuri aliyokuwa akinipatia alivipata kwa taabu na dhiki nyingi mno.
Nakupenda sana mama yangu.
Sio kwa kila mtu, ni kwa waliobahatika tu!
Labda kama unaona na yule aliyezikwa hai juzi ametendewa ambavyo mama anatakiwa kumtendea mwanae.
Mama, Mungu alikuchukua baada ya kuwa mwema sana kwangu mama. Nasikitika ulitoka duniani bila kuonja matunda ya uchungu uliopata na mateso ya kunilea na vurugu zoote za utoto. Nakumbuka ulikuwa huishi wasi wasi mpaka uone nimerudi nyumbani.
I have missed your LOVE mama!