Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,800
Nilipokuwa mdogo nilikuwa najua mama yangu anaweza kila kitu,
sikuwahi kuona napungukiwa, ma wala sikujua kuwa zile raha na maisha mazuri aliyokuwa akinipatia alivipata kwa taabu na dhiki nyingi mno.
Nakupenda sana mama yangu.
sikuwahi kuona napungukiwa, ma wala sikujua kuwa zile raha na maisha mazuri aliyokuwa akinipatia alivipata kwa taabu na dhiki nyingi mno.
Nakupenda sana mama yangu.