Upendo wa kweli

Upendo wa kweli

Angalia status yako ipoje kwa sasa ni _ve au +ve, ikiwa +ve endeleeeni kuishi pamoja ikiwa neg kimbia kusanya kilicho chako fyatuka kwel kwel
 
HIV POLICY ZA TZ NI MBOVU .. Ni zAkingese Zina allow more infections . Mtu ni positive Anaweka Siri kwa mpenzi wake . Sasa anauwa wengine kumi . ULAYA . Ukiwa positive usipo disclose kwa Partner wako . Ni jela up to 13 years ndani . Amna Masiala . Sema Tanzania tunazingua everyone for himself .
Tumia condom jilinde.
 
Unamuacha ni mjinga tu ndiye ataendeleanaye...kuendelea ni ujinga na kujiua mwenyewe na hata Mungu atakuhukumu.

Utamtafutia HIV positive mwenzie
Kuna tukio la kweli la hivyo.....jamaaa hajamuacha...wameongeza mtoto mwingine.....mtazamo.....elimu.....
 
Yeye hiv+ ameshakufa? Sema angemuambukiza.

sijui kwanini tunawabrand hiv + kama tayari weshakufa ilihali watu kibao -ve wanakufa wanawaacha.
Uko sahihi.....watu hawana elimu wala maarifa.....ref.cancer na kisukari ni balaa kuliko hiv+
 
Imagine alikua muathirika toka kitambo na hakukwambia mpaka umemuoa

Ndoa gani ya kikristo hampimwi afya

Mimi najua kabla ya kutangaza uchumba kanisani lazima viongozi wawapeleke mkapime afya tena wanawapeleka hospital wanayoijua wao mnacheack afya then mnafata iyo process ya uchumba

Au wenzangu makanisa yenu hayana hizo hatua ni kutangazA ndoa tu
 
Ndoa gani ya kikristo hampimwi afya

Mimi najua kabla ya kutangaza uchumba kanisani lazima viongozi wawapeleke mkapime afya tena wanawapeleka hospital wanayoijua wao mnacheack afya then mnafata iyo process ya uchumba

Au wenzangu makanisa yenu hayana hizo hatua ni kutangazA ndoa tu
Mfano imetokea sasa kwa xababu yeyote
 
Mfano imetokea sasa kwa xababu yeyote

Mmh huo mfano labda useme mlioana mkiwa mpo sawa katikati ya ndoa mmoja akaukwaa…. Au katika process ya ndoa mmoja alicheat akaupata

Anyway maamuzi ni yako ila yangu ni haya

Siwezi kuendelea kuishi na mtu asiye muaminifu kwa dharau kubwa sana amekucheat na bila aibu kakuletea na HIV
Na Kama aliupata kabla ya kuwa na wewe ni kwanini akufiche nia yake ni nini akuambukize aje akusingizie wewe ndio umemuambukiza

Angalia ukute na mimba si yako

Vunja hiyo ndoa hakuna uaminifu hapo hilo ni jambo kubwa sanaa kwanza hutaishi kwa amani
 
Unamuacha ni mjinga tu ndiye ataendeleanaye...kuendelea ni ujinga na kujiua mwenyewe na hata Mungu atakuhukumu.

Utamtafutia HIV positive mwenzie
Unaelimu ndogo kuhusu HIV ,siku iz mnaweza kuishi kama mke na mume bila mmoja kumuambukiza mwenzake
 
Mpaka umekuja hapa ushajiona show ya kuishi na mtu +ve huiwezi ilihali wewe ni negative.
Cha muhimu mfariji tu hiki kipindi chote za ujauzito mtoto azaliwe ili pia ujiridhishe kama ni wako na afya ya mama isitetereke.
Akishajifungua endelea na maisha yako mtoto akiwa wako mfanye co parenting akiwa sio wako cha kufanya kinajulikana.


N.B: Binafsi siwezi ishi na muathirika wakati mimi sio, sina huo ujasiri na siwezi kuwa nao kamwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom