Dearany bahati
Member
- Aug 1, 2022
- 41
- 88
Hivi kwa mfano umeingia kwenye mahusiano na mwana mke miaka 2 ukampa ujauzito ukamua kumuoa tena kwa ndoa ya kanisani baada ya wiki unagundua kua ni mathilika wa ukimwi na ww hujaathirika unachukua maamuzi gani?