Upendo wa kweli una sifa hizi...

Upendo wa kweli una sifa hizi...

Yah ishawahi kuuona ila wanaoonesha upendo wahivyo me binafsi sichukuliagi kama niupendo ila huwa nawaona kama mazuzu
Huko kuwaona wenye Upendo wa Kweli ni "mazuzu" kumeanza baada ya nini kutokea kwenye maisha yako au automatically ulizaliwa hivyo?.
 
Huko kuwaona wenye Upendo wa Kweli ni "mazuzu" kumeanza baada ya nini kutokea kwenye maisha yako au automatically ulizaliwa hivyo?.
Hakuna nililolipata baya katika mapenzi labda ndivyo nilivyozaliwa hivyo
 
Kwa hapo nakubali kweli wanawake mna namna ya pekee ya kupenda aisee. Given hujanywa bia zake tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani jamani kwamba itakuwa najisafisha baada ya kunywa bia zake?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani jamani kwamba itakuwa najisafisha baada ya kunywa bia zake?
Hamchelewi nyie tunawajua. Kuna mmoja kashapiga bia za Rrondo bila shaka naona kainjika na uzi kabisa.
 
Hamchelewi nyie tunawajua. Kuna mmoja kashapiga bia za Rrondo bila shaka naona kainjika na uzi kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haki sijui tulikufanya nini hadi hutuamini hivyo. Tulio na mahaba ya dhati bado tupo.
 
Naona sina sifa hata moja aiseeeeee
 
Ni rahisi sana kama hujawahi kukutana na Upendo wa namna hii kuamini kwamba ni "unafiki" au aina fulani ya "maigizo".
Huo unaohubiri upendo wa mshumaa na haupo

mtu anatongoza hadharani au unamfuma halafu tu ujifanye hujaona na usimuhesabie makosa ni unafiki wa kimataifa kwakweli
 
Ukisoma wakorintho 13yote inaeleza sana kwa kina haya mambo huu ndo ukweli.. Upendo wa kweli hauhesabu mabaya wala faida ya vitu.
 
Back
Top Bottom