Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,827
Kwa kutumia mzani wa mangi meli.
Sawa ila hilo la kusema kuwa wanawake tuna uwezo wa kutambua ni wanaume gani wana mapenzi ya kweli na wanaume gani hawana mapenzi ya kweli kati ya wanaotutongoza ni uongo wa kiwango cha esijiaraLove doesn't have a limit in anything including cash !!
You just need to use ur cards properly. Ishi na mkeo kwa akili.
Dah nimemchana maukwel mamz kang'aka balaa😆😆😆 adi najuta kumfahamu. Wanawake wameumbwa kudanganywa tu.Sio kweli, ndio maana mwanamke ukimdanganya anadhani ni kweli na ukimwambia ukweli anadhani ni uongo