KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,181
- 17,179
Sijui kama hii ndiyo ile "Who laughs first laughs best," au?Check mate hiyo.
Kule kwingine, .... who laughs last, laughs more?
2-0 BCM. Failed coup
Sijui kama hii ndiyo ile "Who laughs first laughs best," au?Check mate hiyo.
Kule kwingine, .... who laughs last, laughs more?
2-0 BCM. Failed coup
Haa😁😂😀🙄festi ledi katinga nini hio chini?
lowasa kaenda hapo kwa lengo maalumu, labda hata LA kumshawishi jiwe amfanyie wepesi ili mkwe wake atoke gerezn
Not the one inferred therein !Sijui kama hii ndiyo ile "Who laughs first laughs best," au?
Unamuuliza nani?VIP mkwe wake mshatoa jela as per agreement
Nyie wanunuziUnamuuliza nani?
"Nyie" kivipi?Nyie wanunuzi
Wanahukumiwa na mifumo mibovu waliyoshindwa kuibadilisha wakiwa kwenye mfumo.Thus unaambiwa pinga sheria kandamizi ukiwa huru ili siku ukiwa jela ikufae.Namhurumia sana Lowasa from Prime Minister to almost a beggar! I wonder why our politicians are never satisfied with retirement!
Timizeni agreement ya kuunga juhudi"Nyie" kivipi?
Akina nani?Timizeni agreement ya kuunga juhudi
Lowasa anajishusha kiasi hicho... Kwa lipi hasa!? Au ni kuhakikisha kuwa Sioi anatoa gerezani kwa msamaha....!!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli, akiwa na Mkewe Mama Janeth Magufuli kushoto katika picha ya kumbukumbu na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa aliyeambatana na Mkewe Mama Regina Lowassa nyumbani kwa Rais Dk. Magufuli.
View attachment 1505717
Hakuna upendo hapa ni unafiki tu wa kujikomba ili mkwe wake atolewe lupango. Ingekuwa ni upendo wa kweli wakati fisadi lowassa anatusiwa na maccm mbona hakutia neno? Na hata yeye mwenyewe alimtusi kwa kumuita JIZI.
Lowasa anajishusha kiasi hicho... Kwa lipi hasa!? Au ni kuhakikisha kuwa Sioi anatoa gerezani kwa msamaha....!!
Tulia umeze dawaLaigwan amerudia yale mashati yake ya CCM au haya ni mapya?
Picha ya kimkakati kuwahadaa mabeberu kuwa mwenyekiti hana matatizo na aliyekuwa mpinzani wake 2015Tulia umeze dawa