Upendo na umoja wa Watanganyika

Upendo na umoja wa Watanganyika

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,869
Reaction score
828,403
Jumanne tulimchangia Catherine (mdogo wake Baraka) kiasi cha TZS 15.6M ili kimsaidie kumalizia elimu yake CBE na pia kiweze kusaidia familia yake na kumsaidia Baraka mwenyewe ambaye alivunjwa miguu yote miwili na kupewa kesi ya Uhaini. Tunamshukuru Mungu kesho yake Baraka akaachiwa huru.

Hata hivyo kukawa na maoni mengi ya watu wakitaka kijana aliyekua akimbeba Baraka gerezani na Mahakamani Kisutu nae achangiwe. Kijana huyo anaitwa Jovin Kaaya mkazi wa Kimara jijini DSM alijitolea kumbeba Baraka kwa kipindi chote wakiwa gerezani. Jana tukaweka mkeka na kwa neema ya Mungu tumeweza kumchangia Jovin kiasi cha TZS 10.9M.

Mungu awabariki sana wote mlioshiriki sadaka hii. Kiasi hiki alichopata Jovin atatoa kiasi kidogo kusaidia familia ya Nyapara aliyekua akiwahudumia gerezani. Kwahiyo tumeweza kurudisha tabasamu kwa familia ya Baraka na Jovin kwa kuwachangia jumla ya TZS 26.5M. Kwa niaba ya familia hizi mbili tunawashukuru sana. Utukufu kwa Mungu 🙏🏽
1766770085097.jpg
1766770081935.jpg
 
Mungu awabariki wote waliojitolea kuchanga chochote! Hawatapunguka wala kupungukiwa na mwaka 2026 utakuwa wa baraka kuu kwao

Kwa waliosababisha madhila haya kwa wahanga tunamwachia Mungu mkuu ashughulike nao
 
Jumanne tulimchangia Catherine (mdogo wake Baraka) kiasi cha TZS 15.6M ili kimsaidie kumalizia elimu yake CBE na pia kiweze kusaidia familia yake na kumsaidia Baraka mwenyewe ambaye alivunjwa miguu yote miwili na kupewa kesi ya Uhaini. Tunamshukuru Mungu kesho yake Baraka akaachiwa huru.

Hata hivyo kukawa na maoni mengi ya watu wakitaka kijana aliyekua akimbeba Baraka gerezani na Mahakamani Kisutu nae achangiwe. Kijana huyo anaitwa Jovin Kaaya mkazi wa Kimara jijini DSM alijitolea kumbeba Baraka kwa kipindi chote wakiwa gerezani. Jana tukaweka mkeka na kwa neema ya Mungu tumeweza kumchangia Jovin kiasi cha TZS 10.9M.

Mungu awabariki sana wote mlioshiriki sadaka hii. Kiasi hiki alichopata Jovin atatoa kiasi kidogo kusaidia familia ya Nyapara aliyekua akiwahudumia gerezani. Kwahiyo tumeweza kurudisha tabasamu kwa familia ya Baraka na Jovin kwa kuwachangia jumla ya TZS 26.5M. Kwa niaba ya familia hizi mbili tunawashukuru sana. Utukufu kwa Mungu 🙏🏽View attachment 3521049View attachment 3521050
Duh, jamani mbona mkeka wa mchango mimi ulinipita mbali? Hongereni kwa upendo wenu mkubwa! Huyo dogo aliyekuwa anambeba huyo jamaa Mungu ambariki! Halafu hili pumbavu eti bado linatoka nje kuhutubia watu? Hivi hii nchi haina wachawi?
 
Kwa waliosababisha madhila haya kwa wahanga tunamwachia Mungu mkuu ashughulike nao
Kama Mungu alivyotuahidi, na akatende kwa ajili ya walioumizwa! Yeye mwenye alituahidi tumwachie kisasi ni chake! Na awashughulikie kadri itakavyompendeza yeye! Natamani Mungu akampige Samuya ukichaa, atembee uchi ili siku ya siku tumkute hana nguo mtaani tumle!
 
Kama Mungu alivyotuahidi, na akatende kwa ajili ya walioumizwa! Yeye mwenye alituahidi tumwachie kisasi ni chake! Na awashughulikie kadri itakavyompendeza yeye! Natamani Mungu akampige Samuya ukichaa, atembee uchi ili siku ya siku tumkute hana nguo mtaani tumle!
Aaaameeeen 💪🏿💪🏿💪🏿🙏🏿
 
Kama Mungu alivyotuahidi, na akatende kwa ajili ya walioumizwa! Yeye mwenye alituahidi tumwachie kisasi ni chake! Na awashughulikie kadri itakavyompendeza yeye! Natamani Mungu akampige Samuya ukichaa, atembee uchi ili siku ya siku tumkute hana nguo mtaani tumle!
Aaaameeeen 💪🏿💪🏿💪🏿🙏🏿
 
Jumanne tulimchangia Catherine (mdogo wake Baraka) kiasi cha TZS 15.6M ili kimsaidie kumalizia elimu yake CBE na pia kiweze kusaidia familia yake na kumsaidia Baraka mwenyewe ambaye alivunjwa miguu yote miwili na kupewa kesi ya Uhaini. Tunamshukuru Mungu kesho yake Baraka akaachiwa huru.

Hata hivyo kukawa na maoni mengi ya watu wakitaka kijana aliyekua akimbeba Baraka gerezani na Mahakamani Kisutu nae achangiwe. Kijana huyo anaitwa Jovin Kaaya mkazi wa Kimara jijini DSM alijitolea kumbeba Baraka kwa kipindi chote wakiwa gerezani. Jana tukaweka mkeka na kwa neema ya Mungu tumeweza kumchangia Jovin kiasi cha TZS 10.9M.

Mungu awabariki sana wote mlioshiriki sadaka hii. Kiasi hiki alichopata Jovin atatoa kiasi kidogo kusaidia familia ya Nyapara aliyekua akiwahudumia gerezani. Kwahiyo tumeweza kurudisha tabasamu kwa familia ya Baraka na Jovin kwa kuwachangia jumla ya TZS 26.5M. Kwa niaba ya familia hizi mbili tunawashukuru sana. Utukufu kwa Mungu 🙏🏽View attachment 3521049View attachment 3521050

Nadhani huyu Shetani ndiye atakuwa wa mwisho Kuna kuchaguliwa na watanganyika zaidi ya Milioni 30.

Haijawahi tokea watanganyika wakamchagua Mzanzibari baada ya vyama vingi kupitishwa 1993
 
Jumanne tulimchangia Catherine (mdogo wake Baraka) kiasi cha TZS 15.6M ili kimsaidie kumalizia elimu yake CBE na pia kiweze kusaidia familia yake na kumsaidia Baraka mwenyewe ambaye alivunjwa miguu yote miwili na kupewa kesi ya Uhaini. Tunamshukuru Mungu kesho yake Baraka akaachiwa huru.

Hata hivyo kukawa na maoni mengi ya watu wakitaka kijana aliyekua akimbeba Baraka gerezani na Mahakamani Kisutu nae achangiwe. Kijana huyo anaitwa Jovin Kaaya mkazi wa Kimara jijini DSM alijitolea kumbeba Baraka kwa kipindi chote wakiwa gerezani. Jana tukaweka mkeka na kwa neema ya Mungu tumeweza kumchangia Jovin kiasi cha TZS 10.9M.

Mungu awabariki sana wote mlioshiriki sadaka hii. Kiasi hiki alichopata Jovin atatoa kiasi kidogo kusaidia familia ya Nyapara aliyekua akiwahudumia gerezani. Kwahiyo tumeweza kurudisha tabasamu kwa familia ya Baraka na Jovin kwa kuwachangia jumla ya TZS 26.5M. Kwa niaba ya familia hizi mbili tunawashukuru sana. Utukufu kwa Mungu 🙏🏽View attachment 3521049View attachment 3521050
Hii ni njia bora kabisa ya kuwaonesha madhalimu kwamba an attack on one of us is an attack on all of us. Hawawezi kutufanya tupoteane!
 
WATANZANIA SISI NI WASHINDI NDANI YA MASAA 19 TUMEMCHANGIA JOVIN MILLION 10.

Jovini Kaaya ni mkazi wa Kimara Wilaya ya Ubungo Dar, Jovin amekuwa akimbeba Baraka kila alipofika mahakamani kwenye kesi ya uhaini, Jovini alionyesha moyo wa kipekee na kuvutia hisia za wengi, Baraka na Jovin waliachiliwa siku ya Jumatano.

MCHANGO HUU ULIKUWA NI SEHEMU YA MAANDAMANO YA HAKI NA KUONYESHA NGUVU YA UMMA.
1766805346448.jpg
 
chadema mkoa wa Mara

Siku ya leo wanachama na viongozi muitumie kuwagusa walio na madhira wanaoteswa ,wanaoumizwa yatima na wajane na ndugu na wazazi wa waliotekwa na kupotea katika mkoa wetu

Wasogezee mkono wa
Huruma kwa chochote
Wamuone kristo kupitia sisi

TUsijihusishe na matamasha na ulaghai wa kiulimwengu yanayolenga kumpaisha muovu shetani kupitia mawakala wake

Tushiriki zaidi maombi na sio sherehe ili
Waliokufa mioyo wazaliwe upya
Kwa sikukuu hii kubwa
Wambie hao
Merry Christmas
2025 kwa kumuita Bwana aonekane katika majonzi yao
Imba nao nyimbo za Haki saidia kibinadamu unapoweza

Bwana atupe roho

Mwl chacha heche
Mwenyekiti wa mkoa
1766805598419.jpg
 
Back
Top Bottom